Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,489
- 1,814
Kumbe ni nyinyi kwa nyinyi shenzi kabisa. Mimi uzoefu wangu ni dada wa kibosho anazo tabia nzuri sana sijui kwa nini wakaka wasiige huyu dada anafanyakazi ubalozi wa Marekani. ukweli ni kati ya wadada wenye tabia nzuri sana niliowahi kuwaona, nilifikiri na wakaka hivyo hivyoCHI NG'AAMBA SIRI TA MBA FYO SIR. ENYI WO KIRIMA ILA LUKAA NJINI MUDA FUNG'ANYI HATA NGECHI KIWOSO NCHA VOO. MILA NGETIMANYA SIR NGIKAI NA MAMA MUDA FUNG'ANYI SANA KIOSO LAKINI TABIA ZA WOMI!!!!