sifa za wanaume wachaga wa kibosgo

CHI NG'AAMBA SIRI TA MBA FYO SIR. ENYI WO KIRIMA ILA LUKAA NJINI MUDA FUNG'ANYI HATA NGECHI KIWOSO NCHA VOO. MILA NGETIMANYA SIR NGIKAI NA MAMA MUDA FUNG'ANYI SANA KIOSO LAKINI TABIA ZA WOMI!!!!
Kumbe ni nyinyi kwa nyinyi shenzi kabisa. Mimi uzoefu wangu ni dada wa kibosho anazo tabia nzuri sana sijui kwa nini wakaka wasiige huyu dada anafanyakazi ubalozi wa Marekani. ukweli ni kati ya wadada wenye tabia nzuri sana niliowahi kuwaona, nilifikiri na wakaka hivyo hivyo
 
Ni kama hivi kuwa ni:
1. Kuoa na kuacha tena bila matunzo ya kueleweka kwa watoto nina mifano kama kumi na zaidi
2. Wanapenda mali, mkiachana atavizia wakati mke hayupo anapakia kila kitu ndani
3. Ni wachoyo sana hela yake inatoka kwa manati
4. Ukimrusha ni lazima akumalize
5. Mkitalikiana maintainance kwa mtoto ni 30,000 kwa mwezi hata kama anafanya kazi ya mshahara million kumi kwa mwezi.
6. Kwa wakwe ni wachoyo, mgeni akifika anapewa kiporo hata kama chakula fresh kimepika muda huu
7. Wanapenda sana kutembea na mahousegirl, hii piga ua ndo sifa yao kuu, nina mifano kadhaa.
8. Ni walevi wa pombe sana na malaya
9. Ukinunua naye kitu hakikisha mnaandika majina yenu wote au uwe unaandika jina lako maana mkiachana atakimbia na documents zote na atabadilisha majina faster ni wajuzi wa kugushi
10. Low perfomer kitandani
Ongezeeni.Nimeongea kwa experience yangu nao as mkibosho!!

Umeolewa na kuachwa na wakibosho wengi kiasi una experience kubwa namna hii, duh! Na wewe, si uishi peke yako sasa au uolewe na Mkurya tu yaishe?
 
Uliwahi kugombana nao? Maana sifa hizi ingawa wanaweza kuwa nazo lakini zimekikaa kishari sana. Hata hivyo tumepata cha maana hapo.

Mkuu kama nilivyojieleza awali ni kwamba nina experience ya watu ishirini ambao wamepita kwa wanaume wa kibosho wakiwemo wanawake wa kibosho wenyewe. Their experience is hard to tell!!!! Yaani huwezi kutofautisha mwanaume msomi na anayechinja bucha kibosho, wote tabia ni moja tu!!!! Believe me or else chunguza familia zao hata huku mjini jibu utalipata!!!! Kwa mfano kuna mmoja alikuwa anampiga sana mke wake yaani hata akiwa na operesheni ya uzazi yeye analipua tu. Siku moja mkewe akaenda kulalamika kwa mshenga mwishowe mumewe kajibu "mbona baba alikuwa anampiga mama na yale meno pale mbele yameng'olewa na baba lakini bado yupoo na baba hayaondoka na wewe tu kukupiga vikosi na vibapa vya panga unataka kuondoka?"" Haya ni maneno ya mkibosho msomi mwenye masters mbili cha uchumi na mtumishi wa Benki Kuu ya Tanzania". Ndiyo maana nimesema sitaki kuwavua nguo hawa kaka zangu, nawajua mno.
 
EWE NGILOLYE KOFUNDE HWE? KIKI KUCHAMBA SIRI TA MBA WAI? KWANZA EWE KIOSO OKWI?KULAODE NTA AIBU KYOMANA WANA WENI WAWA WASUKO KO MANA MUFATILYA MILA KUCHU.EDOTA LAANA TA SHISASI CHE SABABU YAMBA KWAMBA KUKEI SALAMA HWE?
Dede kuchu!
 
dede kuchu!

siri ta mba!!! Ni dede kuchu womi na waka!!!! Mama nalekabo kafyika ncha womi!! Na tulimzika kwa sababu ya mateso. It pains me a lot!!! Sorry for this but have to be open!!
 
Maane pole. You have a very bad experience about Kida Saa. Bahati mbaya sana wote uliangalia labda Suti na tai! Kugeneralize kuwa wako hivi am vile unakosea! hujakutana na watu wenyekujua kupenda na kutunza! In short I can say every society have negative and positive impact on a particular issue. Hata kule wanakosifika kwa kikata viuno kuna wanaume walegevu katika masuala husika. Mfano zamani ninyi dada zetu mlikuwa matumizi ya mtandao ule tIGo! Wengi wenu ni watumiaji sasa! kataeni lakini wengi ni wateja ww huo mtandao na hats bakhresa mnatumia sana! Bisha!
 
Hapana mkuu. Kule uchagani kwetu kuna ukoo umeacha laana kabisa kuwa mtoto wa ukoo huyo asiolewe au kuoa kibosho kuepukana na hiyo damu. Unaposikia mjini wakisema mwogope mkibosho si uongo, kuna ukweli ndani mwake. Unajua wale ni wachinja nyama sana hivyo kukupiga panga au kiandu ni kazi ndogo sana. Hapa ninaongea with confidence full of experience with these dudes!!

duh......sina la kusema
 
[QUOTE=. It pains me a lot!!! Sorry for this but have to be open!!
Open 4/2 whom!! It looks as if sometin is akombo at yo family lady sister!!
 
Mkuu hawa hawanibabaishi kabisa maana ninawajua mno hata kwa majina ambayo ni wasomi na wametelekeza wake zao i.e ndoa hazidumu nitakutajia ni kwa vile tu hapa sitaki kufanya character assessination maana wengine walikuwa ni waheshimiwa but ndoa kaputi! Halafu nimesahau moja, ni warushi sana, akifika kwako kukuomba mkopo hutampata. Mimi nimetapeliwa na mmoja wao ambaye tena nimemsimamia ndoa (jina kapuni) but ninajiandaa kumtoa media muda si mrefu na picha yake kabisa. In short wana kadamu kwa wizi!!! Waje na wanishambulie mimi ni mwenzao na siogopi!!


Wanasema huwezi kujuwa kuogelea bila kudumbukia kwenye maji...
Haya mwenzetu unaewajuwa wakibosho namna hiyo je tueleze uliachika mwaka gani?
Na mpaka leo jamaa anakupa elfu 30 ya matunzo?
 
Ni kama hivi kuwa ni:
1. Kuoa na kuacha tena bila matunzo ya kueleweka kwa watoto nina mifano kama kumi na zaidi
2. Wanapenda mali, mkiachana atavizia wakati mke hayupo anapakia kila kitu ndani
3. Ni wachoyo sana hela yake inatoka kwa manati
4. Ukimrusha ni lazima akumalize
5. Mkitalikiana maintainance kwa mtoto ni 30,000 kwa mwezi hata kama anafanya kazi ya mshahara million kumi kwa mwezi.
6. Kwa wakwe ni wachoyo, mgeni akifika anapewa kiporo hata kama chakula fresh kimepika muda huu
7. Wanapenda sana kutembea na mahousegirl, hii piga ua ndo sifa yao kuu, nina mifano kadhaa.
8. Ni walevi wa pombe sana na malaya
9. Ukinunua naye kitu hakikisha mnaandika majina yenu wote au uwe unaandika jina lako maana mkiachana atakimbia na documents zote na atabadilisha majina faster ni wajuzi wa kugushi
10. Low perfomer kitandani
Ongezeeni.Nimeongea kwa experience yangu nao as mkibosho!!
Mmmhhhh bishanga hapa sitii neno.
 
EWE NGILOLYE KOFUNDE HWE? KIKI KUCHAMBA SIRI TA MBA WAI? KWANZA EWE KIOSO OKWI?KULAODE NTA AIBU KYOMANA WANA WENI WAWA WASUKO KO MANA MUFATILYA MILA KUCHU.EDOTA LAANA TA SHISASI CHE SABABU YAMBA KWAMBA KUKEI SALAMA HWE?

Teh teh teh kazi ipo

CHI NG'AAMBA SIRI TA MBA FYO SIR. ENYI WO KIRIMA ILA LUKAA NJINI MUDA FUNG'ANYI HATA NGECHI KIWOSO NCHA VOO. MILA NGETIMANYA SIR NGIKAI NA MAMA MUDA FUNG'ANYI SANA KIOSO LAKINI TABIA ZA WOMI!!!!

Duuh naomba tafsiri jamani mmetuacha mataa.....ila inaelekea jamaa alikua analalamika umewaacha uchi!!!
 
Hapana mkuu. Kule uchagani kwetu kuna ukoo umeacha laana kabisa kuwa mtoto wa ukoo huyo asiolewe au kuoa kibosho kuepukana na hiyo damu. Unaposikia mjini wakisema mwogope mkibosho si uongo, kuna ukweli ndani mwake. Unajua wale ni wachinja nyama sana hivyo kukupiga panga au kiandu ni kazi ndogo sana. Hapa ninaongea with confidence full of experience with these dudes!!

Hivi eee.....na wamachame je?! maana mie huwa naambiwa nisiwasogelee,sasa nimempata mchumba nifanyeje wajameni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom