Sifa za wanafunzi kulingana na vyuo

me niko mzumbe na wala sio tajiri ila nina akili!! utake usitake
mzumbe ni chuo cha waliofeli na kushindwa kuingia udsm....kinazidiwa hata na SAUT, ni ajabu kusikia hicho ni chuo cha wenye akili...tafadhali tusichanganye mzumbe high school shule ya wenye vipaji na mzumbe university, kati ya vyuo vya wanaokimbia sup za udsm wavivu wa kusoma na waliofeli form six ni mzumbe. nilishawai kufundisha pale, vigezo tu na hata wanafunzi tu walioko pale mzumbe na wale wa SAUT ni tofauti, saut wako serious na bora kuliko mzumbe mara mia. RUCO inaendana na saut, ....kwa vyuo vya afya, muhimbili, kcmc na bugando viko juu sana. kwa rank tu, udsm ni chuo bora sana hata katika rank ya kidunia, kiafrika na cha kwanza africa mashariki. pale wanatoka waliofaulu vizuri form six na wachache waliofeli. kusoma mzumbe hata bure sitaki, nashukuru Mungu nilisoma udsm miaka ile nilipokuwa nasoma...
 
Muslim University of Morogoro (MUM) kuna wakali wewe usisikie ya kuambiwa.Uliza wanaojimix na product za MUM kusoma Masters Degree wanakimbizwa mbaya.
 
acheni dharau na kejeli, nyie ndio mnaamini mwenye div 0 hana akili. msiwe mnakalili mmeshakuwa wakubwa embu muwe mnafikiri kwanza. I TRUST IN JESUS
 
umetoa maelezo mengi sana hata moja sijakuelewa!!! kajipange tena uje na maelezo mengine ambayo yanaweza yakanishawishi!!
 
Co koxa lako kuxema 2mekoxa udzm coz kila m2 anahaki ya kunena pointz au pumba bt ni aibu kuongea pumba mbele YA great thinkerz
 
Ukiona mtu anadiscuss watu ujue ana uwezo mdogo wa kufikiri kwa maneno mengine ni kilaza,nadhani mwanzilishi wa hii maada ni kilaza bcoz anadiscuss watu badala ya kudiscuss ideas
 
Anzia na shulee mlizosoma....sio mnaanza kusifia vyuo wakati mmesoma St.Kayumba na passmark za kuungaunga!!!!:baby:
 
mtowa mada nimiongoni mwa wa2 wenye ugonjwa wa kufikiri yaan wavivu wa kufikir huu ni ugonjwa hatar zaid ya AIDS coz una destroy future za wa2 weng sana........ hawaniwale wa2 wanaofikiri kuwa wa2 wote wanaoishi ulaya or america ni matajir....... or ukisoma speacial skul lazima upate one.......pia niwele wanaofikir chuo kina msaada wa asilimia 100 katka ufaulu wa m2,chuo kinakusidia asilimia ndogo sana kati ya hizo mia ni kama 25% 2 nyingine ni person effort dogo so ww jipe moyo ukalale coz upo sua then 2kuesabie supp zako mwish wa semst........ amka dogo think positive
 
¤Sua, Muhas, Kcmc- Makini na Wajanja
Mzumbe- Matajiri na wenye Akili
¤Udsm- Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali
¤Cbe-dar- Malaya na wasiojiweza kiakili
¤Tumaini, Ardhi- Upeo mdogo wa kufikiri na watoto wa Mama
¤Ruco- Wajinga kwa waliokosa vyuo kabisa
¤Udom- Waliokosa nafasi Udzm na wanaipenda ingawa wanaipondea
¤Sauti,Ustawi, Mwl Nyerere, Muccobs, Cbe-dom- Wasiojua Future Zao
¤Iaa- Wenye uwezo ila walifeli form six
¤Mipango, Zanzibar, St.john, Moro Muslim- Wasiofahamu umuhimu wa elemu, hapa vilaza wamejaa kaa Nyota
¤Lpcuco- Majigambo kibao hamna cha maana kazi kujipraudi tu
¤Ifm- Kwa mademu wa ukweli

tekU, sekuco je,
 
mzumbe ni chuo cha waliofeli na kushindwa kuingia udsm....kinazidiwa hata na SAUT, ni ajabu kusikia hicho ni chuo cha wenye akili...tafadhali tusichanganye mzumbe high school shule ya wenye vipaji na mzumbe university, kati ya vyuo vya wanaokimbia sup za udsm wavivu wa kusoma na waliofeli form six ni mzumbe. nilishawai kufundisha pale, vigezo tu na hata wanafunzi tu walioko pale mzumbe na wale wa SAUT ni tofauti, saut wako serious na bora kuliko mzumbe mara mia. RUCO inaendana na saut, ....kwa vyuo vya afya, muhimbili, kcmc na bugando viko juu sana. kwa rank tu, udsm ni chuo bora sana hata katika rank ya kidunia, kiafrika na cha kwanza africa mashariki. pale wanatoka waliofaulu vizuri form six na wachache waliofeli. kusoma mzumbe hata bure sitaki, nashukuru Mungu nilisoma udsm miaka ile nilipokuwa nasoma...
ndugu YANGU NILIJUA NA WEWE UTAELIMISHA WATU KWA EXPERINCE YAKO NA WEWE BADO UNAPONDEA VYUO KWELII NIMEAMINI UVIVU WA KUFIKIRI NI ZAIDI YA AIDS
 
napita 2..kumbe cbe balaaaaaaa kwa hyo ukiwa na dem pale bas mtazaaa mtoo malaya na kilaza
 
Najua kua best brain,ni MUCE Katika branchi za udsm,Mzumbe nawapa saluti,SUA-Simba wa Yuda.
 
¤Sua, Muhas, Kcmc- Makini na Wajanja
Mzumbe- Matajiri na wenye Akili
¤Udsm- Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali
¤Cbe-dar- Malaya na wasiojiweza kiakili
¤Tumaini, Ardhi- Upeo mdogo wa kufikiri na watoto wa Mama
¤Ruco- Wajinga kwa waliokosa vyuo kabisa
¤Udom- Waliokosa nafasi Udzm na wanaipenda ingawa wanaipondea
¤Sauti,Ustawi, Mwl Nyerere, Muccobs, Cbe-dom- Wasiojua Future Zao
¤Iaa- Wenye uwezo ila walifeli form six
¤Mipango, Zanzibar, St.john, Moro Muslim- Wasiofahamu umuhimu wa elemu, hapa vilaza wamejaa kaa Nyota
¤Lpcuco- Majigambo kibao hamna cha maana kazi kujipraudi tu
¤Ifm- Kwa mademu wa ukweli
ze duduz Kwa upeo ulionao hata sishangai ukatoa uhalo wako humu jamvini,kwa ushauri tu uacha uvivu wa kufikiri jaribu soma vitu ili upanue upeo wako,then ndio ulete uzi wenye mashiko
 
Last edited by a moderator:
ze duduz Kwa upeo ulionao hata sishangai ukatoa uhalo wako humu jamvini,kwa ushauri tu uacha uvivu wa kufikiri jaribu soma vitu ili upanue upeo wako,then ndio ulete uzi wenye mashiko
sasa nisome nini? Mi nishazeeka
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom