Ndugu wanajamii, napenda kuwabandikia sifa za wagombea nafasi mbalimbali ndani ya Chama cha Waandishi wa Habari Mkoani Morogoro kama ifuatavyo:
NAFASI YA UENYEKITI
1. AZIZI MSUYA
SIFA ZAKE:
SIFA ZAKE
MAKAMU MWENYEKITI
1. DEVOTA MINJA
SIFA ZAKE
SIFA ZAKE
1.ABEDI DOGOLI
SIFA ZAKE
SIFA ZAKE
NAFASI YA UENYEKITI
1. AZIZI MSUYA
SIFA ZAKE:
- Ni mwajiliwa wa Bussiness Times Limited
- Anaweza Kuhama muda wowote kwenda mkoa mwingine iwapo atahamishwa na mwajiriwa wake
- Ushiriki wake kwenye mambo ya habari ni mdogo,ni mpokeaji tu wa taarifa
- Si mtu wa kujichanganya na wadau tofauti tofauti
- Hajawahi kushika nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama cha waandishi wa Habari Morogoro
- Hakubaliki miongoni mwa waandishi walio wengi
SIFA ZAKE
- Ni mwakilishi wa IPP Media (Mwandishi wa ITV na Radio One)
- Ni Makamu Mwenyekiti anayemaliza muda wake
- Ni mshiriki mzuri katika mambo ya habari
- Ni mtu wa kujichanganya na wadau mbalimbali
- Ni mtendaji mzuri,ana sifa nzuri ya kuongoza,amekuwa akikaimu nafasi ya uenyekiti tangu mwezi November 2010 mpaka sasa baada ya mwenyekiti wake kuugua kwa muda mrefu
- Ni mwanachama wa muda mrefu wa chama cha waandishi wa Habari Morogoro
- Ni mfuatiliaji mzuri wa kanuni,taratibu,sheria na maadili ya tasnia ya uandishi wa habari
- Amewahi kukumbana na Changamoto kadhaa katika kazi yake ikiwemo kushtakiwa na mafisadi na kuwashinda mahakamani
- Anakubalika na wadau wengi hasa waandishi wa habari na utangazaji
MAKAMU MWENYEKITI
1. DEVOTA MINJA
SIFA ZAKE
- Ni mwanachama wa muda mrefu wa chama cha Waandishi wa habari
- Ni mzoefu wa mambo ya habari
- Anafuata na kuzingatia kanuni,taratibu na sheria za taaluma yake ya uandishi wa habari
- Ni mtu wa kujichanganya na wadau mbalimbali
- Anakubalika miongoni mwa waandishi wa habari
SIFA ZAKE
- Ni mwajiliwa wa Majira
- Ni mlopokaji, Si mtunzaji wa siri
- Hana msimamo katika maamuzi
- Si mtendaji wa kazi
- Anajali zaidi pesa kuliko kazi
- Ni mwanachama wa muda mrefu wa chama cha waandishi wa habari
- Ni mzoefu wa mambo ya habari
- Ni swahiba wa karibu wa Aziz Abood (Mbunge wa ccm-moro mjini) na matajiri wengine wa Morogoro
- Ni mtu wa propagamda na vurugaji wa mambo
1.ABEDI DOGOLI
SIFA ZAKE
- Ni mwajiliwa wa siku nyingi wa Abood Media Group
- Anatumiwa na Aziz Abood kwa ajili ya kulinda maslahi ya Aziz Abood
- Anafanya kampeni za Rushwa
- Ni mtu wa kudhoofisha kanuni,taratibu na maadili ya taaluma ya uandishi wa habari
- Amewahi kuwa meneja wa kampeni wa Aziz Abood japo kwa siri
- Si mtu wa kujichanganya na wadau mbalimbali
- Alisimamia zoezi la kununua magazeti yote yaliyoandika kuhusu kifo cha mwandishi wa habari marehemu KUANDIKA aliyefariki baada ya kupata ajali akiwa ndani ya basi la Abbod
- Hakubaliki miongoni mwa waandishi wa habari
- Ana tuhuma za kupewa shilingi milioni mbili kutoka kwa Aziz Abood ili ahakikishe anashinda nafasi ya Ukatibu
SIFA ZAKE
- Ni mwakilishi wa Vyombo mbalimbali vya habari
- Ni mshiriki mzuri katika mambo ya habari
- Ni mtu wa kujichanganya na wadau mbalimbali
- Ni mtendaji mzuri,
- Ni mwanachama wa muda mrefu wa chama cha waandishi wa Habari Morogoro
- Ni mfuatiliaji mzuri wa kanuni,taratibu,sheria na maadili ya tasnia ya uandishi wa habari
- Amewahi kukumbana na Changamoto kadhaa katika kazi yake
- Anakubalika na wadau wengi hasa waandishi wa habari na utangazaji