umenena mkuu maana wengine wanahisi kusoma chuo chenye jina basi na wao wataonekana wana akili sana kumbe wengine ni vilaza wa kutosha na kila semester wana sup
umenena mkuu maana wengine wanahisi kusoma chuo chenye jina basi na wao wataonekana wana akili sana kumbe wengine ni vilaza wa kutosha na kila semester wana sup
:spy: Mimi nina spy kaka.usipite mkuu, subiri ukaguliwe kwanza
Naskia wa udom huwa wanaambiwa na wazazi wao wasome sana ili nao wachaguliwe udsm...
Udsm wakukrem na kucreate mgogolo na kukidropisha chuo. Badala ya kukiap grade. From 13 rank in Africa up 2 somewhere in hell. Vilaza wamejaa huko duuuu.
Haya chei chei
acheni ubaguzi mbona sisi wa tengeru community development college hamjatuweka! kwikwi kwi!