Sifa za "SMART PHONE"

Nyasiro

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
1,200
551
Nimekua nikibishana na jamaa zangu kuhusu "Smart Phone" kila mtu anadai simu yake ni Smart Phone. Sasa naomba tuelezane ni zipi sifa za Smart Phones?
 
kama haina a *smart operating sytem* sio a smartphone. kama haioperate under any of these OS: iOS, Symbian, Meego, Android, BADA, Windows, Blackberry, au Palm OS basi sio a smartphone. simple!!
feature phone ni simu ya ghali kiasi lakini haina any of the OSniliyotaja hapo juu labda ndo mwenzako anaita smartphone ila zinakula Java. tee hee :biggrin:
 
Hakuna clear definition ya smartphone kusema ukweli, watu wanaamuaga tu kuweka simu kundi fulani ila ukifikiria vizuri ni vigumu sana kubainisha ipi ni smartphone ipi sio.

Wikipedia inasema hivi:

The distinction between smartphones and feature phones can be vague, and there is no official definition for what constitutes the difference between them. One of the most significant differences is that the advanced application programming interfaces (APIs) on smartphones for running third-party applications[SUP][9][/SUP] can allow those applications to have better integration with the phone's OS and hardware than is typical with feature phones. In comparison, feature phones more commonly run on proprietary firmware, with third-party software support through platforms such as Java ME or BREW.[SUP][1][/SUP] An additional complication in distinguishing between smartphones and feature phones is that over time the capabilities of new models of feature phones can increase to exceed those of phones that had been promoted as smartphones in the past.
 
leh Kang vp kuhusu upande wa processor & ram ni sifa pia?. Je cm kama Siemens c25 haina kabisa procesa na ram?
 
Last edited by a moderator:
wakuu mi ni mgeni humu ndani, naomba msaada wa kupata housing ya simu GT 540, kwani nimetafuta sana bila mafanikio..nawasilisha
 
Hakuna clear definition ya smartphone kusema ukweli
a101.jpg
 
leh Kang vp kuhusu upande wa processor & ram ni sifa pia?. Je cm kama Siemens c25 haina kabisa procesa na ram?

Processor na ram si kigezo cha smartphone kwa sababu kuna asha qwerty moja ina 1ghz processor lakini si smartphone wakati smartphone za android nyingi zenye gingerbread kama galaxy pocket, micromax (ile list yangu ya cheap smartphone za android) wote hawana 1ghz wanarange 600 hadi 800 mhz so processor na ram sio ishu.

Hao c25 na simu zote za analog za zamani wanazo processor japo makubwa sema zilikua zinafanya kazi ndogo

Mfano my dear unbeaten kwenye drop test the mighty nokia 3310 hii ni image ya processor yake

152_signaling_processor_nokia_3310_8210.jpg
 
Last edited by a moderator:
Another feature 4 a smart phone is that it should be able to process(read and edit) documents(word, p.point, pdf files etc)
 
Another feature 4 a smart phone is that it should be able to process(read and edit) documents(word, p.point, pdf files etc)

S40 zinafanya hivo mkuu lakini sio smartphone na sku hizi kuna web app ndio kabsaa kila simu inafanya.
 
another sifa ya smart phone ukipigiwa simu akaring ukiigeza inatakiwa iite katika silent mode
 
Back
Top Bottom