Ili uwe mwanasiasa hasa kwa ccm,itakupasa uwe na sifa zifuatazo.
1.Uwe mwongo na mnafiki,hii ina maana kuwa hata kama jambo si zuri,itakupasa ulitetee kwa nguvu zote,
2.Uwe Mshirikina,suala la kwenda kwa waganga haliepukiki,na hasa kwenye nyakati za uchaguzi,pia uwapo madarakani!
3.Pia uwe una uwezo wa kutoa hongo,(rushwa) ya aina yeyote,iwe ya pesa kwa raia(wapga kura) au hata ya nguo(fulana na khanga),na ikiwezekana Ya Ngono(wapo wabunge walikiri kwenye semina fulani)
nyingne ziendeleze
1.Uwe mwongo na mnafiki,hii ina maana kuwa hata kama jambo si zuri,itakupasa ulitetee kwa nguvu zote,
2.Uwe Mshirikina,suala la kwenda kwa waganga haliepukiki,na hasa kwenye nyakati za uchaguzi,pia uwapo madarakani!
3.Pia uwe una uwezo wa kutoa hongo,(rushwa) ya aina yeyote,iwe ya pesa kwa raia(wapga kura) au hata ya nguo(fulana na khanga),na ikiwezekana Ya Ngono(wapo wabunge walikiri kwenye semina fulani)
nyingne ziendeleze