Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Pengine unaweza kumsaidia mwenzio kufaidika ama kuacha na na haka katabia..haka katibia kako hasa kwenye nyumba za kupanga na mavyuoni..sipendi kwenda mbali binafsi naka hate sana lakini naona idadi inaongezeka so najiuliza pengine kanaweza kuwa msaada kwa wengine amakama kabaya tupatieni maelezo jinsi ya watu kuacha haka katabia chakuchunguliana wakati mwenzio akaifanya tendo landoa/uzinzi
nakumbuka vyuoni hasa mlimani haka katabia ndio kamesheni kama mashabiki wa yanga..sasa kamehamia kwenye wapangaji hivi mnafurahia nini kuona mwenzenu akiteswwa ama kusulubiwa..jamani kwenye kitanda nakama kuna manufaa embu tusaidie pengine tunayamiss
weekend njema
WARNING
DONT CHABO THE CHABOLIST YOU WILL BE CHABODE TOO
nakumbuka vyuoni hasa mlimani haka katabia ndio kamesheni kama mashabiki wa yanga..sasa kamehamia kwenye wapangaji hivi mnafurahia nini kuona mwenzenu akiteswwa ama kusulubiwa..jamani kwenye kitanda nakama kuna manufaa embu tusaidie pengine tunayamiss
weekend njema
WARNING
DONT CHABO THE CHABOLIST YOU WILL BE CHABODE TOO