Maberere
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 316
- 93
Nina mmeru hapa always tunagombana mpaka ndoto zangu za kumuoa zinapungua? Je ni huyu tu wakwangu au ndo tabia ya wanawake wakimeru full ugomvi, from nathing to beef, naomba maelezo kwa wameru mliopo msukuma me nataabika!
hahaha,,, ndo walivyo,