bface
Senior Member
- Dec 22, 2010
- 128
- 19
kaka hawa w meru pasua kichwa mi mwenyewe nimetoka kuzinguana na wakwangu muda si mrefu.
I blive it coz kunaugomvi ambao c walazima, mfano upo umekaa na Wana samwea hataki anataki uwe home du!
kaka hawa w meru pasua kichwa mi mwenyewe nimetoka kuzinguana na wakwangu muda si mrefu.
I blive it coz kunaugomvi ambao c walazima, mfano upo umekaa na Wana samwea hataki anataki uwe home du!
salam nimezipokea kongosho asante,ila c wote wakorofi mbona mi mpole sana tuhebo oa haraka
watoto wa mmeru na msukuma huwa wako bomba afu vipanga wa kufa mtu.
Acha upoyoyo basi.
Mrekebisha hayo mambo madogo sana, huwa wavumilivu ukiwaweka mahali pake.
Na utafuga ng'ombe hata kama hutaki.
Natuma salamu kwa wameru wote, hureee!
salam nimezipokea
Ole wako mama Collin a some hapa, Leo utalala kwa ng'ombe!kaka hawa w meru pasua kichwa mi mwenyewe nimetoka kuzinguana na wakwangu muda si mrefu.
Ole wako mama Collin a some hapa, Leo utalala kwa ng'ombe!
Um'fokisha deny?
salam nimezipokea kongosho asante,ila c wote wakorofi mbona mi mpole sana tu
Hamna kitu