Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Ndugu zangu naomba mniambie sifa au tabia za wameru kila mmoja kwa nafasi yake na mtazamo wake. nauliza kwa sababu nimemsikia mtu akisema yeye hawezi kukaa na wameru hata sekunde akaulizwa na mbinguni je ukiwakuta utafanyaje akasema nitatoka. nilipotaka kudadisi nijue undani akawa ameshaondoka na sikuwa na contact zake, embu nisaidieni? binafsi nimekutana nao na sijaona shida yao lakini sielewi kwa nini mtu anaweza sema hivyo.
ahsanteni.
ahsanteni.