Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
ukimwacha huyo mrembo utakuja kujilaumu kiburudisho, ni wacheshi na wachapakazi sana. kwa ujumla ni kama wale jamaa zetu wa kigoma yaani waha! huwa ni waaminifu sana na wachapa kazi kuliko kawaida na zaidi ya yote ni wavumilivu sana wa matatizo kama yatawatokea katika maiha yenu...kwa ujumla hawayumbishwi na vitu vidogovidogo...sam as waha wa kigoma as they speak the same language but a bit/slight different tonation! Beba kitu hicho usiache!!!!