wanaweza kuvaa roman collar na kusimama kwenye mimbari na wanaweza kushika tasbihi mkononi na balakeshea.. Lakini hicho ndicho tunachokiona; moyoni mwao wanaamini haki yao wao kufanikiwa na kutumia njia yoyote wao kufanikiwa; hawana dini isipokuwa wao wenyewe!
lakini this is HUMAN NATURE!....sitegemei binadamu wa kawaida kufanya all the WICKEDNESS mwisho wa siku akajitaja!LOL haijasemwa hawajijui au hawajulikani; tatizo ni kuwa hawawezi kujitaja.
Hongera kwa post yako mpya kwenye thread hii ya mjadala mkali.Join Date: Mon Dec 2009
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 1 Post
Rep Power: 0
Mimi ni mwanachama mpya ninayejulikana kwa jina la Madoshi Kuzenza wa Geita. Nitakuwa pamoja nanyi katika kupokea na kutoa maoni katika mambo mbalimbali ya msingi. I hope you enjoyed your Xmas. Cheers.
wanaweza kuvaa roman collar na kusimama kwenye mimbari na wanaweza kushika tasbihi mkononi na balakeshea.. Lakini hicho ndicho tunachokiona; moyoni mwao wanaamini haki yao wao kufanikiwa na kutumia njia yoyote wao kufanikiwa; hawana dini isipokuwa wao wenyewe!
safi!!!!!!!!
01: Mafisadi ni wenzetu na jamaa zetu; wakati mwingine ni SISI WENYEWE!
Kwani askofu hawezi kuwa fisadi? Hawa jamaa wakati wa nuru wanajitahidi kuishuhudia dunia juu ya dini zao. Usiku ukifika ni watu tofauti wenye imani tofauti wasioweza kuthubutu kutaja imani wanayoizungumzia wakati wa nuru. Kwa bahati mbaya mtego wao wamenaswa wengi ikiwem o makasisi katika mavazi yao ya ibada. Jaribu ku google Archbishop Paul Marcinkus uone how some of the church holy men are corruptible to no asny reference.mbona mmoja wao msemaji mkuu wa familia yake ni ASKOFU?unless,you tell me otherwise kwamba:
-dini ya yule askofu SIO DINI
-au uniambie yeye si FISADI
Mafisadi wachoyo sana licha ya kuwa wabahili lakini wao wanapata zaidi
Nimemsema Mbunge mmoja analalamika kuwa mafisadi wanaingialia jimbo "lake".. kana kwamba alitegemea mafisadi watakuwa waungwana na wenye heshima kwake. Mbunge huyo amefikia mahali pa kudai kuwa mbona yeye hajawashambulia mafisadi kwanini wamfuatefuate.. hajui kwamba hiyo ni sababu tosha kwa mafisadi kumfuata kwani wao hawana mwiko!
Sifa 10 za Mafisadi ambazo hawapendi uzijue!
Baada ya kufuatilia mikakati ya mafisadi na matendo yao ndani ya miaka hii 15 na hasa katika kufuatilia kwa kina mambo yao mbalimbali hatimaye nimefikia hitimisho kwamba mafisadi wanazo sifa kumi ambazo zinawatofautisha na watu wengine. Mafisadi wote wanazo sifa hizi au huongozwa nazo. Ni sifa ambazo wasingependa watu wajue:
10: Mafisadi ni kama wachawi; hawajitaji.
09: Mafisadi hawana mwiko; kwao vyote vinaruhusiwa.
08: Mafisadi hawana dini; imani yao ni juu yao wenyewe na maslahi yao.
07: Mafisadi hawana uungwana. Hawana sababu ya kuwa nao.
08: Mafisadi hawana heshima; isipokuwa kwa mafisadi wenzao.
06: Mafisadi hawaogopi yeyote; wote wako chini yao.
05: Mafisadi siyo bahili; hulipa gharama yoyote kuendeleza ufisadi wao
04: Mafisadi hujaribu lolote; lisipowezekana hutafuta njia nyingine (angalia #5)
03: Mafisadi hawana vyama vya siasa; utawakuta popote
02: Mafisadi hawajulikani kwa kuwaangalia kwa nje; wanaonekana waadilifu!
01: Mafisadi ni wenzetu na jamaa zetu; wakati mwingine ni SISI WENYEWE!
Kula huku kula gani
Mwala hata visivyolika.
Kula huku kula gani,
Mwala huku mnacheua....
Napenda sana shairi hili...
Sifa 10 za Mafisadi ambazo hawapendi uzijue!
Baada ya kufuatilia mikakati ya mafisadi na matendo yao ndani ya miaka hii 15 na hasa katika kufuatilia kwa kina mambo yao mbalimbali hatimaye nimefikia hitimisho kwamba mafisadi wanazo sifa kumi ambazo zinawatofautisha na watu wengine. Mafisadi wote wanazo sifa hizi au huongozwa nazo. Ni sifa ambazo wasingependa watu wajue:
10: Mafisadi ni kama wachawi; hawajitaji.
09: Mafisadi hawana mwiko; kwao vyote vinaruhusiwa.
08: Mafisadi hawana dini; imani yao ni juu yao wenyewe na maslahi yao.
07: Mafisadi hawana uungwana. Hawana sababu ya kuwa nao.
08: Mafisadi hawana heshima; isipokuwa kwa mafisadi wenzao.
06: Mafisadi hawaogopi yeyote; wote wako chini yao.
05: Mafisadi siyo bahili; hulipa gharama yoyote kuendeleza ufisadi wao
04: Mafisadi hujaribu lolote; lisipowezekana hutafuta njia nyingine (angalia #5)
03: Mafisadi hawana vyama vya siasa; utawakuta popote
02: Mafisadi hawajulikani kwa kuwaangalia kwa nje; wanaonekana waadilifu!
01: Mafisadi ni wenzetu na jamaa zetu; wakati mwingine ni SISI WENYEWE!