Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Sifa 10 za Mafisadi ambazo hawapendi uzijue!
Baada ya kufuatilia mikakati ya mafisadi na matendo yao ndani ya miaka hii 15 na hasa katika kufuatilia kwa kina mambo yao mbalimbali hatimaye nimefikia hitimisho kwamba mafisadi wanazo sifa kumi ambazo zinawatofautisha na watu wengine. Mafisadi wote wanazo sifa hizi au huongozwa nazo. Ni sifa ambazo wasingependa watu wajue:
10: Mafisadi ni kama wachawi; hawajitaji.
09: Mafisadi hawana mwiko; kwao vyote vinaruhusiwa.
08: Mafisadi hawana dini; imani yao ni juu yao wenyewe na maslahi yao.
07: Mafisadi hawana uungwana. Hawana sababu ya kuwa nao.
08: Mafisadi hawana heshima; isipokuwa kwa mafisadi wenzao.
06: Mafisadi hawaogopi yeyote; wote wako chini yao.
05: Mafisadi siyo bahili; hulipa gharama yoyote kuendeleza ufisadi wao
04: Mafisadi hujaribu lolote; lisipowezekana hutafuta njia nyingine (angalia #5)
03: Mafisadi hawana vyama vya siasa; utawakuta popote
02: Mafisadi hawajulikani kwa kuwaangalia kwa nje; wanaonekana waadilifu!
01: Mafisadi ni wenzetu na jamaa zetu; wakati mwingine ni SISI WENYEWE!
Baada ya kufuatilia mikakati ya mafisadi na matendo yao ndani ya miaka hii 15 na hasa katika kufuatilia kwa kina mambo yao mbalimbali hatimaye nimefikia hitimisho kwamba mafisadi wanazo sifa kumi ambazo zinawatofautisha na watu wengine. Mafisadi wote wanazo sifa hizi au huongozwa nazo. Ni sifa ambazo wasingependa watu wajue:
10: Mafisadi ni kama wachawi; hawajitaji.
09: Mafisadi hawana mwiko; kwao vyote vinaruhusiwa.
08: Mafisadi hawana dini; imani yao ni juu yao wenyewe na maslahi yao.
07: Mafisadi hawana uungwana. Hawana sababu ya kuwa nao.
08: Mafisadi hawana heshima; isipokuwa kwa mafisadi wenzao.
06: Mafisadi hawaogopi yeyote; wote wako chini yao.
05: Mafisadi siyo bahili; hulipa gharama yoyote kuendeleza ufisadi wao
04: Mafisadi hujaribu lolote; lisipowezekana hutafuta njia nyingine (angalia #5)
03: Mafisadi hawana vyama vya siasa; utawakuta popote
02: Mafisadi hawajulikani kwa kuwaangalia kwa nje; wanaonekana waadilifu!
01: Mafisadi ni wenzetu na jamaa zetu; wakati mwingine ni SISI WENYEWE!