Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Kabila linahusianaje hapa??tuambiwe kabila lake, nasisi tuchangie.
Kabila linahusianaje hapa??tuambiwe kabila lake, nasisi tuchangie.
Yaani kiongozi kwa mujibu wa ushauri uliom'pa mdau-mwenza haufanani na jina lako! Ushauri wako ni ecxelent! Sijui ilikuaje Fergy akakupiga 8 wakati una ma'ushauri mazuri kiivo! Oooh-maaama!
Muiraq kwani vipi kuna makabila yanapuliza?Labda tuanzie hapa kwanza,
Ni kabila gani huyo mdada??
Magoo! Soo much whistles it may lead dog to the wron' direction! Also mimi na wasiwasi na hivyo unavyokata mikwanja japokua sikuulizi ni ya urithi ama zako mwenyewe bt above ol try to avoid extravagancy my fellow mdau.
Wenger i do tell you hutendi haki kuishia tu sports kule bila kututembelea.....lol... Umeona mambo ambayo hua watubania? The Advice is Great.
Mkuu toa uzoefu wakomimi napita wakuu,....ila ntarudi kupiga chabo muda si kitambo_maake hata mimi yamenikuta
Mkuu toa uzoefu wako