Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
- Thread starter
- #41
....Haya mazee kwa kuwa uliomba senksi nimekugongea kivile tu ni wa humu humu. Otherwise umeongea mengi nikipima naona mzani unakuja kwangu...Sorry kama nimekukwaza!!!...umepatwa na pepo!
Kitendo tu cha kukutana na msichana na kumsahau mchumba wako mtarajiwa ni kosa la jinai! (ungekuwa huku UAE tungekupiga na mawe)
Yaani unataka kusema kila unpomwona msichana mrembo unalala naye kwanza ujue wa baridi ama moto..
1. Unahitaji sala ya toba na umpokee bwana Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yako.
2. Then uende kwa huyo mchumba wako mtarajiwa na umweleze kwamba akuache kwa sababu u r not worth to be with her.
3. U should be ashamed of this
4. Mwanaume rijali ni yule anayeweza kuzuia hisia zake mpaka wakati muafaka (definition yako ya urijali ni ya kishetani!)
5. Huyo ni wa Arusha na I guess ulienda kwa ndege maana ungepitia Moshi uwaone wa Kichagga..cjui kama ungerudi.
6. Huyo mtoto (regardless the lady u choose) kamwe usimpeleke boarding wakati ni mdogo hivyo..bado anahitaji malezi ya baba na mama.
7. On second thought, ni afadhali aend boarding..kwani u r not a father type! (unless ubadilike)
8. It takes more than love to be with someone. R u two compatible with each other??!
9. One measure of love is the time test: have you wintered and summered with the lady you have just met? ama ni kupagawishwa na mtoto wa kimbulu...unadhani umependa!!! atleast angekuambia yuko tayari kuishi na mtoto, kumlea kama mwanae, kumsaidia..etc! lakini hiyo ya boarding...ni kumfukuza bila kumwambia toka!
10. u need a thorough soul search!
11. usiache Dhahabu kukimbilia scraper! (huyo mwanamke aliyekubali kulala nawe even kabla ya ndoa au kufahamiana..kwangu ni malaya tu!) Sasa sijui ameshaenda conference ngapi since hiyo ya Arusha...tafakari!
12. Ebu nipige thanks kwanza!
samahani kama nimekukwaza...[/COLOR]