Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Kaka kama ulikuwa hujaenda naye mbali huyo mchumba wako wa awali i mean hujamuahidi kitu kama ulivyosema ulitaka kum surprise basi chukua roho inataka. Lakini unaonekana kuwa na tamaa hapo sina cha kukushauri maana kesho utakuja tena kusema nimeona mwingine yuko moto kweli kweli. Cheza na roho yako kama unajua huyo ndo mwisho wa maneno na hutakuwa na tamaa basi jimwage tu.