Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Sipendi watu wasiowaheshimu kinamama/dada.inabidi tumzirie thread yake kama jina lake.
Hivi kumbe ndo jina lake! Hebu achana naye kabisa.....
BTW.... mzima lakini wewe???
Sipendi watu wasiowaheshimu kinamama/dada.inabidi tumzirie thread yake kama jina lake.
Habari ya mfungo wa KwaresmaHivi kumbe ndo jina lake! Hebu achana naye kabisa.....
BTW.... mzima lakini wewe???
Habari ya mfungo wa Kwaresma
Sina nia ya kuwatusi mama zangu,dada zangu,wasichana ,wanawake au mke wangu bt nimesikia na naendelea kusikia msemo mmoja unaopendwa kutumiwa huku mtaani kwetu eti,wanasema wanawake ni kama sahani ya hotelini inatumiwa inaoshwa then anakuja mwingine naye anatumia au wanawake ni kama siti ya daladala unaikalia ,unashuka anakuja mwingine naye anaikalia.....msaada wajameni hii misemo ina mana gani ?
AMEN. Barikiwa dada Michelle!
Ubarikiwe zaidi Keren....hakukosea aliyesema JF kipimo cha uvumilivu....kwa kuwa mema ni asilimia 95,na kero ni tano....tutabanana hapa hapa!!!!
Mi mzima Keren baada ya kuona tabasamu lako lol!Hivi kumbe ndo jina lake! Hebu achana naye kabisa.....
BTW.... mzima lakini wewe???
Mi mzima Keren baada ya kuona tabasamu lako lol!
Mimi mzima kabisa wa afyaNi njema kabisa TF... mzima wewe lakini?
Dah!!! uporotoMi mzima Keren baada ya kuona tabasamu lako lol!
Sipendi watu wasiowaheshimu kinamama/dada.inabidi tumzirie thread yake kama jina lake.
Nzirie atakuwa anapenda sana kukaa vijiweniNzirie huwezi kuja na kauli za kidhalilishaji unazozisikia hapo kwa muuza kahawa na tukakuunga mkono,ni afadhali uendelee kutuchekesha kule kwenye jokes,hapa ukija na tatizo la mahusiano kweli watu watakushauri.
Kheeee kheeee kheeeeekwanza umeshasema msemo wa mtaan alafu unatuletea REJESTA tofaut tofaut wewe kama unataka kujua kawaulize unao wackia wakisema sawa mkuu
Uungwana ni pamoja na kukubali ulimi ukiteleza na kuwataka radhi kina dada/mama/wake kwa kuwakwaza.khee,msamaha wa nini?provide facts za kuonyesha kuwatusi hao dada zako na si unanukuu au kuchukua kijimstari kimoja ,think critically
TF rafiki yangu mbona hunipendi hivyo nikisalimia dada unaona kosa Y ?Nzirie atakuwa anapenda sana kukaa vijiweni
Ahaaa ahaaa ahaaa, I hope u are not planning to mess with her kama vile askari wa jiji wanavyo mess na wamachingaTF rafiki yangu mbona hunipendi hivyo nikisalimia dada unaona kosa Y ?