Sielewi kinachoendelea kwa mwanangu,Nawaomba mnisaidie

pole sn mama, ongea kwa kirefu na huyo msichana,kama anakubali na yupo tayari kuachana na hiyo hali ya uchawi basi mpeleke kanisan akaombewe na aachane na hiyo tabia,kama anakaidi basi mrudishe ulikomtoa ili asije kumwua au kumdhuru mwanao halafu mtoto mpeleke akaombewe kanisani.
Hawa hsegal tunaoishi nao baadhi wanatuweka kwenye matatizo sn, Mungu ndiye anayetulinda na kutuepusha tu. Nikijiuliza kuwa unaanza kuishi na hsegal hujui hata malezi yk yote, mmh!! Huu ubusy wa majukumu unatupa mitihani mingi sn...pole sana mama mtoto, pole ndugu yangu.
 
Muombee mtoto, leta watumishi waiombee nyumba yako kama wewe ni mkristu kama mwislam sijui cha kukushauri, then omba maombi ya kumfunga asirudi tena kwako atokomee mbali kabisa.
 
halafu bado uko nae humo ndani ...tumia imani yako kuponya matatizo ya mwanao

Namshangaa sana... Lizzy kamwambia vyema, kumbuka mUUmba

Ila mimi namuita kima mdogo, kama alivyojiita mwenyewe............ anapata muda wa kurusha thread lakini hana muda wa maombi na kumuondoa huyo dada
 
Nashukuru Mungu kwani leo asubuh nimeita wachungaji nyumbani tukafanya maombi ya pamoja, wametoa mairizi na madawa yamechimbiwa kila kona ya nyumba, MUNGU MKUBWA
 
kutokana na uvivu wako unaokufanya ushindwe kufanya kazi za hapo nyumbani
ndiyo maana unazidi kumvumilia huyo hg
siku ya mwisho ni lazima utalia tu
 
mimi ni mkristo na huwa NAFANYA MAOMBI nyumbani kila alfajiri na jioni, nimekuja kuomba ushauri JF kwani naamini kuna watu wenye uwezo wa KIMUNGU wanaoweza kunisaidia zaid
 
Hata la kusema sina, maana nionavyo, umelea tatizo muda mrefu. Au pengine alikupulizia uzubaifu.
 
Pole mwaya,usiwe unawaamini sana hawa wadada wengine wanakuja na mambo ya huko kwao,na hata ukipata mwingine mpeleke akaombewe kwanza ndio uishi naye na ili ujihakikishie aman ya moyo maombi ndio silaha pekee!
 
mimi ni mkristo na huwa NAFANYA MAOMBI nyumbani kila alfajiri na jioni, nimekuja kuomba ushauri JF kwani naamini kuna watu wenye uwezo wa KIMUNGU wanaoweza kunisaidia zaid

unafanya maombi kama sheria au kama imani? Maana kuna kufanya maombi kutimiza wajibu,na kuna kufanya maombi ya haja ya kweli juu ya Msaada wa Mungu,na afanye hivi huwa na nguvu ya Mungu,na ungekuwa nayo for the fist day tu ungejua huyo dada sio mtu mzuri,kwanza kwa hayo maombi tu mwenyewe angekuwa kashatimua siku nyingi wala asingekaa hapo manake kwa damu ya Yesu hapo pangekuwa moto kwake maana ungekuwa unakwamisha shughuli zake,badili mfumo wako wa kuomba ndugu.
 
unafanya maombi kama sheria au kama imani? Maana kuna kufanya maombi kutimiza wajibu,na kuna kufanya maombi ya haja ya kweli juu ya Msaada wa Mungu,na afanye hivi huwa na nguvu ya Mungu,na ungekuwa nayo for the fist day tu ungejua huyo dada sio mtu mzuri,kwanza kwa hayo maombi tu mwenyewe angekuwa kashatimua siku nyingi wala asingekaa hapo manake kwa damu ya Yesu hapo pangekuwa moto kwake maana ungekuwa unakwamisha shughuli zake,badili mfumo wako wa kuomba ndugu.

nimeandika hii with personal exprnc and insidence
 
...muanze kula kitimoto na mifupa muiweke kwenye kila pembe ya nyumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom