Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
Kuna house girl nilikua naye kwa mwaka 1 ss yy ni mzaliwa wa Tanga, dada huyu nimeish naye vzr sn na alikua anamlea mwanangu wa miaka 4 vizuri sn, lkn kwa kipindi choche nilichoish naye mwanangu amekua na tabia ya kuweweseka sn usiku na kuongea maneno ya ajabu KM NIACHIE, MI SIENDI HUKO, mi nilichukulia kw lbd anakumbuka michezo ya shuleni lkn woga na hofu imeniingia ghafla hz wiki 2, wiki iliyopita ghafla huyu dada pmja na mwanangu walianza kutingishika km m2 aliyepandisha mashetani, mtoto ye anasema NIACHIE UKO MI SIENDI, DADA YE ANATINGISHIKA, MARA AKAITA JINA LA MWANANGUGHAFLA WOTE WAKATULIA, tk siku hy hy dada anaongea mambo ya ajabuajabu, mara aseme MTAANI WT WANAMUITA MCHWI, MARA WATU WANAMSINGIZIA KW KALA NYAMA YA MWANAE(alifariki miez 2 iliyopita) SS ANATAKA KULA NA YAMWANANGU, jana sa 8 usiku kaamka ANANIAMBIA KW ANAONDOKA MAMA YK KAJA YK PEKU NA AMECHOKA SN KAJA KUMCHUKUA, jamani jamani nisaidieni NINI MAANA YA YOTE HAYA??