Sidhani kama Michael Lukindo anafaa kuwa mbadala wa Hudson Kamoga kwenye Clouds tv 360

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,876
Kwanza nianze kabisa kukiri kuwa nami ni mmoja wa Wadau wenu wa Kipindi chenu cha 360 hasa kutokana na aina yenu ya Kipekee kabisa ya uwasilishaji wa ' issues ' ambazo mmezifanya ziwe na mvuto na unalazimika tu kuangalia kipindi chenu kila kukicha. Hongereni kwa hilo!

Naomba nitakachokiandika hapa msikipokee kwa ' jicho ' tofauti dhidi yangu bali mnaweza tu mkachukua lile ambalo mnaona ni jema na kama mtaona hakuna cha kuchukua pia si vibaya japo najua nitakuwa nami nimewasilisha maoni yangu kwenu.

Tunajua kuwa Mtangazaji wenu Hudson Kamoga sasa yupo huku Mbulu akiwajibika ' kiserikali ' baada ya kuteuliwa na Mheshimiwa Rais hivyo mlikuwa mnahangaika labda kumtafuta ' mbadala ' wake hapo kitu ambacho kwa sisi Wadau wa Habari na Mawasiliano huwa si kitu rahisi kama ambavyo Watu wengine hufikiri.

Naona leo mmeanza rasmi na Utambulisho wa Mtangazaji wa Clouds fm Bwana Mdogo Michael Lukindo kama mtangazaji mwenza wa Program Host wenu mpya Dada yangu Babie Kabae huku Comrade wangu Samuel Nathaniel Sasali akibakia pale pale katika ' magazeti ' huku akichagiza na kupendezesha Kipindi chenu kwa ' ukomedi ' wake.

Namkubali mno Michael Lukindo hasa kutokana kwamba namfahamu na najua uwezo wake ila ' technically ' sishauri huyu Kijana awe Co Host wa Babie Kabae na badala yake ningeshauri mtafuteni Mtu mwingine ambaye anaweza akawa sambamba na Babie Kabae hasa ' kimtazamo '.

Kuna tofauti kubwa sana ya Utangazaji wa Tv na wa Redio na kwa Wadau wa Tv watakubaliana nami kuwa hakuna kitu kibaya kama kumfanyia Mtu ' majaribio ' ya Utangazaji katika Television kwani impact yake kwa audience kama akionekana tu ' kuharibu ' inaweza kuwa kubwa na kujikuta unaanza kuwapoteza ' walaji ' wako wote.

Michael Lukindo anaoneka dhahiri kusumbuliwa na haya yafuatayo:

  1. Bado ana ' utoto '.
  2. Siyo ' knowledgeable '.
  3. Hana Media ' exposure '.
  4. Hayuko ' natural ' hasa katika Sauti yake na nadhani kuna Mtu anamuiga.
  5. Ana bana mno ' sauti ' kitu ambacho ' sometimes ' kinatufanya tuhisi kuwa wapo watangazaji wawili ( 2 ) wa Kike wakati kumbe kuna Mwanume na Mwanamke.
  6. Ni ' mkurupukaji ' na anapenda ' kudakia dakika ' pasipo kutafakari kwanza.
  7. Hayuko ' serious ' na anafanya hapo Studio kama ' Kijiweni ' tu.
Lengo langu hapa si kumuondoa hapo na bahati mbaya sina huo Uwezo ila nawaombeni tu kama mnataka kipindi chenu kuwa bora na pendwa zaidi basi chukueni muda kidogo kumtafuta Mtu ambaye ni very ' competent ' tena ikibidi kumzidi hata Hudson Kamoga.

Sina mengi zaidi ya haya na nawatakieni majukumu mema na nakaribisha pia ' kukosolewa ' kama na Mimi ' nimekengeuka ' juu ya hayo niliyoyaeleza kwani humu Wote tunaelimishana na kukosoana kwa Hoja.

Akhsanteni.
 
Kwanza nianze kabisa kukiri kuwa nami ni mmoja wa Wadau wenu wa Kipindi chenu cha 360 hasa kutokana na aina yenu ya Kipekee kabisa ya uwasilishaji wa ' issues ' ambazo mmezifanya ziwe na mvuto na unalazimika tu kuangalia kipindi chenu kila kukicha. Hongereni kwa hilo!

Naomba nitakachokiandika hapa msikipokee kwa ' jicho ' tofauti dhidi yangu bali mnaweza tu mkachukua lile ambalo mnaona ni jema na kama mtaona hakuna cha kuchukua pia si vibaya japo najua nitakuwa nami nimewasilisha maoni yangu kwenu.

Tunajua kuwa Mtangazaji wenu Hudson Kamoga sasa yupo huku Mbulu akiwajibika ' kiserikali ' baada ya kuteuliwa na Mheshimiwa Rais hivyo mlikuwa mnahangaika labda kumtafuta ' mbadala ' wake hapo kitu ambacho kwa sisi Wadau wa Habari na Mawasiliano huwa si kitu rahisi kama ambavyo Watu wengine hufikiri.

Naona leo mmeanza rasmi na Utambulisho wa Mtangazaji wa Clouds fm Bwana Mdogo Michael Lukindo kama mtangazaji mwenza wa Program Host wenu mpya Dada yangu Babie Kabae huku Comrade wangu Samuel Nathaniel Sasali akibakia pale pale katika ' magazeti ' huku akichagiza na kupendezesha Kipindi chenu kwa ' ukomedi ' wake.

Namkubali mno Michael Lukindo hasa kutokana kwamba namfahamu na najua uwezo wake ila ' technically ' sishauri huyu Kijana awe Co Host wa Babie Kabae na badala yake ningeshauri mtafuteni Mtu mwingine ambaye anaweza akawa sambamba na Babie Kabae hasa ' kimtazamo '.

Kuna tofauti kubwa sana ya Utangazaji wa Tv na wa Redio na kwa Wadau wa Tv watakubaliana nami kuwa hakuna kitu kibaya kama kumfanyia Mtu ' majaribio ' ya Utangazaji katika Television kwani impact yake kwa audience kama akionekana tu ' kuharibu ' inaweza kuwa kubwa na kujikuta unaanza kuwapoteza ' walaji ' wako wote.

Michael Lukindo anaoneka dhahiri kusumbuliwa na haya yafuatayo:

  1. Bado ana ' utoto '.
  2. Siyo ' knowledgeable '.
  3. Hana Media ' exposure '.
  4. Hayuko ' natural ' hasa katika Sauti yake na nadhani kuna Mtu anamuiga.
  5. Ana bana mno ' sauti ' kitu ambacho ' sometimes ' kinatufanya tuhisi kuwa wapo watangazaji wawili ( 2 ) wa Kike wakati kumbe kuna Mwanume na Mwanamke.
  6. Ni ' mkurupukaji ' na anapenda ' kudakia dakika ' pasipo kutafakari kwanza.
  7. Hayuko ' serious ' na anafanya hapo Studio kama ' Kijiweni ' tu.
Lengo langu hapa si kumuondoa hapo na bahati mbaya sina huo Uwezo ila nawaombeni tu kama mnataka kipindi chenu kuwa bora na pendwa zaidi basi chukueni muda kidogo kumtafuta Mtu ambaye ni very ' competent ' tena ikibidi kumzidi hata Hudson Kamoga.

Sina mengi zaidi ya haya na nawatakieni majukumu mema na nakaribisha pia ' kukosolewa ' kama na Mimi ' nimekengeuka ' juu ya hayo niliyoyaeleza kwani humu Wote tunaelimishana na kukosoana kwa Hoja.

Akhsanteni.

MKUU,

UNGEWEKA PICHA KABISA KWA AJILI YA KUSHADIDIA MAELEZO TAFADHALI!

 
Kwanza nianze kabisa kukiri kuwa nami ni mmoja wa Wadau wenu wa Kipindi chenu cha 360 hasa kutokana na aina yenu ya Kipekee kabisa ya uwasilishaji wa ' issues ' ambazo mmezifanya ziwe na mvuto na unalazimika tu kuangalia kipindi chenu kila kukicha. Hongereni kwa hilo!

Naomba nitakachokiandika hapa msikipokee kwa ' jicho ' tofauti dhidi yangu bali mnaweza tu mkachukua lile ambalo mnaona ni jema na kama mtaona hakuna cha kuchukua pia si vibaya japo najua nitakuwa nami nimewasilisha maoni yangu kwenu.

Tunajua kuwa Mtangazaji wenu Hudson Kamoga sasa yupo huku Mbulu akiwajibika ' kiserikali ' baada ya kuteuliwa na Mheshimiwa Rais hivyo mlikuwa mnahangaika labda kumtafuta ' mbadala ' wake hapo kitu ambacho kwa sisi Wadau wa Habari na Mawasiliano huwa si kitu rahisi kama ambavyo Watu wengine hufikiri.

Naona leo mmeanza rasmi na Utambulisho wa Mtangazaji wa Clouds fm Bwana Mdogo Michael Lukindo kama mtangazaji mwenza wa Program Host wenu mpya Dada yangu Babie Kabae huku Comrade wangu Samuel Nathaniel Sasali akibakia pale pale katika ' magazeti ' huku akichagiza na kupendezesha Kipindi chenu kwa ' ukomedi ' wake.

Namkubali mno Michael Lukindo hasa kutokana kwamba namfahamu na najua uwezo wake ila ' technically ' sishauri huyu Kijana awe Co Host wa Babie Kabae na badala yake ningeshauri mtafuteni Mtu mwingine ambaye anaweza akawa sambamba na Babie Kabae hasa ' kimtazamo '.

Kuna tofauti kubwa sana ya Utangazaji wa Tv na wa Redio na kwa Wadau wa Tv watakubaliana nami kuwa hakuna kitu kibaya kama kumfanyia Mtu ' majaribio ' ya Utangazaji katika Television kwani impact yake kwa audience kama akionekana tu ' kuharibu ' inaweza kuwa kubwa na kujikuta unaanza kuwapoteza ' walaji ' wako wote.

Michael Lukindo anaoneka dhahiri kusumbuliwa na haya yafuatayo:

  1. Bado ana ' utoto '.
  2. Siyo ' knowledgeable '.
  3. Hana Media ' exposure '.
  4. Hayuko ' natural ' hasa katika Sauti yake na nadhani kuna Mtu anamuiga.
  5. Ana bana mno ' sauti ' kitu ambacho ' sometimes ' kinatufanya tuhisi kuwa wapo watangazaji wawili ( 2 ) wa Kike wakati kumbe kuna Mwanume na Mwanamke.
  6. Ni ' mkurupukaji ' na anapenda ' kudakia dakika ' pasipo kutafakari kwanza.
  7. Hayuko ' serious ' na anafanya hapo Studio kama ' Kijiweni ' tu.
Lengo langu hapa si kumuondoa hapo na bahati mbaya sina huo Uwezo ila nawaombeni tu kama mnataka kipindi chenu kuwa bora na pendwa zaidi basi chukueni muda kidogo kumtafuta Mtu ambaye ni very ' competent ' tena ikibidi kumzidi hata Hudson Kamoga.

Sina mengi zaidi ya haya na nawatakieni majukumu mema na nakaribisha pia ' kukosolewa ' kama na Mimi ' nimekengeuka ' juu ya hayo niliyoyaeleza kwani humu Wote tunaelimishana na kukosoana kwa Hoja.

Akhsanteni.

HAYA KWENYE MADA,

HUYO Michael Lukindo ANATANGAZA KIPINDI GANI KULE Clouds FM?

MAANA'KE NATURE YA KIPINDI CHAKE CHA AWALI INAWEZA KUWA NA MCHANGO KATIKA KUFANIKIWA AU KUTOFANIKIWA KATIKA KIPINDI CHA SASA.
acha lumtoa mwenzako kwenye mada wewe.
Jadili mada husika
 

HAYA KWENYE MADA,

HUYO Michael Lukindo ANATANGAZA KIPINDI GANI KULE Clouds FM?

MAANA'KE NATURE YA KIPINDI CHAKE CHA AWALI INAWEZA KUWA NA MCHANGO KATIKA KUFANIKIWA AU KUTOFANIKIWA KATIKA KIPINDI CHA SASA.
Alikuwa East Africa radio baadae akaenda ebony radio ndio yupo ndo yupo huko
 
Leo nimemsikia anasema hilary clinton anasumbuliwa na homa ya ini!!!!!???!!...nae hana tofauti na ded mteule
 
Baby Kabayeee,kila siku namwona amekaa hapo studioni,basi Kuna simu nikamwona maaeneo flani amesimama!,duu Ana zigo flani amaizing aisee,tukirudi kwenye mada,huyu dogo amezidiwa kiupeo na huyu binti mrembo Sana tu,changamoto kwake ajiongeze aache utoto,aache kuropoka,ajifunze...kwani haya magwiji akina Ritz Khani,Jonathan Mann,Larry Kings,walianza hivyo....
 
Kwanza nianze kabisa kukiri kuwa nami ni mmoja wa Wadau wenu wa Kipindi chenu cha 360 hasa kutokana na aina yenu ya Kipekee kabisa ya uwasilishaji wa ' issues ' ambazo mmezifanya ziwe na mvuto na unalazimika tu kuangalia kipindi chenu kila kukicha. Hongereni kwa hilo!

Naomba nitakachokiandika hapa msikipokee kwa ' jicho ' tofauti dhidi yangu bali mnaweza tu mkachukua lile ambalo mnaona ni jema na kama mtaona hakuna cha kuchukua pia si vibaya japo najua nitakuwa nami nimewasilisha maoni yangu kwenu.

Tunajua kuwa Mtangazaji wenu Hudson Kamoga sasa yupo huku Mbulu akiwajibika ' kiserikali ' baada ya kuteuliwa na Mheshimiwa Rais hivyo mlikuwa mnahangaika labda kumtafuta ' mbadala ' wake hapo kitu ambacho kwa sisi Wadau wa Habari na Mawasiliano huwa si kitu rahisi kama ambavyo Watu wengine hufikiri.

Naona leo mmeanza rasmi na Utambulisho wa Mtangazaji wa Clouds fm Bwana Mdogo Michael Lukindo kama mtangazaji mwenza wa Program Host wenu mpya Dada yangu Babie Kabae huku Comrade wangu Samuel Nathaniel Sasali akibakia pale pale katika ' magazeti ' huku akichagiza na kupendezesha Kipindi chenu kwa ' ukomedi ' wake.

Namkubali mno Michael Lukindo hasa kutokana kwamba namfahamu na najua uwezo wake ila ' technically ' sishauri huyu Kijana awe Co Host wa Babie Kabae na badala yake ningeshauri mtafuteni Mtu mwingine ambaye anaweza akawa sambamba na Babie Kabae hasa ' kimtazamo '.

Kuna tofauti kubwa sana ya Utangazaji wa Tv na wa Redio na kwa Wadau wa Tv watakubaliana nami kuwa hakuna kitu kibaya kama kumfanyia Mtu ' majaribio ' ya Utangazaji katika Television kwani impact yake kwa audience kama akionekana tu ' kuharibu ' inaweza kuwa kubwa na kujikuta unaanza kuwapoteza ' walaji ' wako wote.

Michael Lukindo anaoneka dhahiri kusumbuliwa na haya yafuatayo:

  1. Bado ana ' utoto '.
  2. Siyo ' knowledgeable '.
  3. Hana Media ' exposure '.
  4. Hayuko ' natural ' hasa katika Sauti yake na nadhani kuna Mtu anamuiga.
  5. Ana bana mno ' sauti ' kitu ambacho ' sometimes ' kinatufanya tuhisi kuwa wapo watangazaji wawili ( 2 ) wa Kike wakati kumbe kuna Mwanume na Mwanamke.
  6. Ni ' mkurupukaji ' na anapenda ' kudakia dakika ' pasipo kutafakari kwanza.
  7. Hayuko ' serious ' na anafanya hapo Studio kama ' Kijiweni ' tu.
Lengo langu hapa si kumuondoa hapo na bahati mbaya sina huo Uwezo ila nawaombeni tu kama mnataka kipindi chenu kuwa bora na pendwa zaidi basi chukueni muda kidogo kumtafuta Mtu ambaye ni very ' competent ' tena ikibidi kumzidi hata Hudson Kamoga.

Sina mengi zaidi ya haya na nawatakieni majukumu mema na nakaribisha pia ' kukosolewa ' kama na Mimi ' nimekengeuka ' juu ya hayo niliyoyaeleza kwani humu Wote tunaelimishana na kukosoana kwa Hoja.

Akhsanteni.
HUO NI WIVU TU.
 
Kwanza nianze kabisa kukiri kuwa nami ni mmoja wa Wadau wenu wa Kipindi chenu cha 360 hasa kutokana na aina yenu ya Kipekee kabisa ya uwasilishaji wa ' issues ' ambazo mmezifanya ziwe na mvuto na unalazimika tu kuangalia kipindi chenu kila kukicha. Hongereni kwa hilo!

Naomba nitakachokiandika hapa msikipokee kwa ' jicho ' tofauti dhidi yangu bali mnaweza tu mkachukua lile ambalo mnaona ni jema na kama mtaona hakuna cha kuchukua pia si vibaya japo najua nitakuwa nami nimewasilisha maoni yangu kwenu.

Tunajua kuwa Mtangazaji wenu Hudson Kamoga sasa yupo huku Mbulu akiwajibika ' kiserikali ' baada ya kuteuliwa na Mheshimiwa Rais hivyo mlikuwa mnahangaika labda kumtafuta ' mbadala ' wake hapo kitu ambacho kwa sisi Wadau wa Habari na Mawasiliano huwa si kitu rahisi kama ambavyo Watu wengine hufikiri.

Naona leo mmeanza rasmi na Utambulisho wa Mtangazaji wa Clouds fm Bwana Mdogo Michael Lukindo kama mtangazaji mwenza wa Program Host wenu mpya Dada yangu Babie Kabae huku Comrade wangu Samuel Nathaniel Sasali akibakia pale pale katika ' magazeti ' huku akichagiza na kupendezesha Kipindi chenu kwa ' ukomedi ' wake.

Namkubali mno Michael Lukindo hasa kutokana kwamba namfahamu na najua uwezo wake ila ' technically ' sishauri huyu Kijana awe Co Host wa Babie Kabae na badala yake ningeshauri mtafuteni Mtu mwingine ambaye anaweza akawa sambamba na Babie Kabae hasa ' kimtazamo '.

Kuna tofauti kubwa sana ya Utangazaji wa Tv na wa Redio na kwa Wadau wa Tv watakubaliana nami kuwa hakuna kitu kibaya kama kumfanyia Mtu ' majaribio ' ya Utangazaji katika Television kwani impact yake kwa audience kama akionekana tu ' kuharibu ' inaweza kuwa kubwa na kujikuta unaanza kuwapoteza ' walaji ' wako wote.

Michael Lukindo anaoneka dhahiri kusumbuliwa na haya yafuatayo:

  1. Bado ana ' utoto '.
  2. Siyo ' knowledgeable '.
  3. Hana Media ' exposure '.
  4. Hayuko ' natural ' hasa katika Sauti yake na nadhani kuna Mtu anamuiga.
  5. Ana bana mno ' sauti ' kitu ambacho ' sometimes ' kinatufanya tuhisi kuwa wapo watangazaji wawili ( 2 ) wa Kike wakati kumbe kuna Mwanume na Mwanamke.
  6. Ni ' mkurupukaji ' na anapenda ' kudakia dakika ' pasipo kutafakari kwanza.
  7. Hayuko ' serious ' na anafanya hapo Studio kama ' Kijiweni ' tu.
Lengo langu hapa si kumuondoa hapo na bahati mbaya sina huo Uwezo ila nawaombeni tu kama mnataka kipindi chenu kuwa bora na pendwa zaidi basi chukueni muda kidogo kumtafuta Mtu ambaye ni very ' competent ' tena ikibidi kumzidi hata Hudson Kamoga.

Sina mengi zaidi ya haya na nawatakieni majukumu mema na nakaribisha pia ' kukosolewa ' kama na Mimi ' nimekengeuka ' juu ya hayo niliyoyaeleza kwani humu Wote tunaelimishana na kukosoana kwa Hoja.

Akhsanteni.
Sidhani kuwa walikuwa wanatafuta mbadala wa Kamoga, bali walikuwa wanajaza nafasi. Huyu kijana bado sana. Kamoga alikuwa na uelewa wa hali ya juu lakini pia alikuwa na utu uzima fulani (kichwani). Nawashauri waendelee kutafuta mwingine huyu Lukindo haenei 360
 
Back
Top Bottom