Side b of you

Aisee.. Uongo! Hata kwa jambo dogo sana! Utaisoma mbaya sana chalii yangu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mie hata sijielewi, mie saa zote nipo km askar wa mwavuli, hali ya hewa ikibadilka nam nabadilika faster, so no kukwazana
 
side be yangu....

naweza kukaa peke yangu hata wiki nzima
sitaki kuonana na yeyote
 
Mimi na uzushi ni maji na mafuta! Nikigundua 2 mzushi au yule ambanye anaendekeza sana benefits of doubts fasta nampiga chin!
 
Naogopa sana kufumaniwa kwani hali hii huweza kupelekea kujiona kuwa u mdanganyifu kwa mpenzi wako.

Hahahah Madame B hujatulia..kwaiyo we unapenda kudo ze nidful outside ila usifumaniwe...!!!
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni kama CD...one side only! What you see is what you get...
 
Naogopa sana kufumaniwa kwani hali hii huweza kupelekea kujiona kuwa u mdanganyifu kwa mpenzi wako.

ahaaaa!
So u mean huwa unajificha sana usije ukakutwa na bwana pepsi!
(its a joke madam wangu)
 
Kuna baadhi ya mambo ambayo ni madogo ama makubwa unaeza kutendewa ukasikia hasira mpaka ukabadilika kabisa.Nafikiri wengi wetu tuna side mbili,unaweza ukamuona mtu ni mcheshi ana cheka kila wakati ila kuna side B ambayo inaweza kutokea anapokasirishwa kwa kiwango cha juu either na g/friend,boyfriend,mchumba,mke ama mume hata kwa jambo dogo tu ambalo hapendi kutendewa.....
Mimi kitu ambacho sipend ni kudanganywa hata kwa jambo dogo ,wewe je?

Aisee sipendi kudanganywa,na nabadilika sana hasa ninapogundua hilo,
 
Side B yangu nikumchukia yeyote asiyenipa uhuru wa mimi kuwa mimi
 
Kuna baadhi ya mambo ambayo ni madogo ama makubwa unaeza kutendewa ukasikia hasira mpaka ukabadilika kabisa.Nafikiri wengi wetu tuna side mbili,unaweza ukamuona mtu ni mcheshi ana cheka kila wakati ila kuna side B ambayo inaweza kutokea anapokasirishwa kwa kiwango cha juu either na g/friend,boyfriend,mchumba,mke ama mume hata kwa jambo dogo tu ambalo hapendi kutendewa.....
Mimi kitu ambacho sipend ni kudanganywa hata kwa jambo dogo ,wewe je?

tupo pamoja mkuu mm m2 akinidanganya naona kama nanidharau so once nikagundua kama kanidanganya 2taonana wabaya
 
Back
Top Bottom