unataka upewe kirahisi rahisi.miesipendi when a gal makes me work for her K..
Unafiki ambao kwa asilimia kubwa upo sana kwa sasa
unataka upewe kirahisi rahisi.
nimeelewa sasa kwamba mfomo wa kujaliana na kuheshimu hisia uwe na mizani bila ya mzani kugemea upande kama sijakosea.hapana nataka tuwe direct sio twapelekeshana kama vile she doing me a favour bwana.
Naogopa sana kufumaniwa kwani hali hii huweza kupelekea kujiona kuwa u mdanganyifu kwa mpenzi wako.
Kuna baadhi ya mambo ambayo ni madogo ama makubwa unaeza kutendewa ukasikia hasira mpaka ukabadilika kabisa.Nafikiri wengi wetu tuna side mbili,unaweza ukamuona mtu ni mcheshi ana cheka kila wakati ila kuna side B ambayo inaweza kutokea anapokasirishwa kwa kiwango cha juu either na g/friend,boyfriend,mchumba,mke ama mume hata kwa jambo dogo tu ambalo hapendi kutendewa.....
Mimi kitu ambacho sipend ni kudanganywa hata kwa jambo dogo ,wewe je?
Kuna baadhi ya mambo ambayo ni madogo ama makubwa unaeza kutendewa ukasikia hasira mpaka ukabadilika kabisa.Nafikiri wengi wetu tuna side mbili,unaweza ukamuona mtu ni mcheshi ana cheka kila wakati ila kuna side B ambayo inaweza kutokea anapokasirishwa kwa kiwango cha juu either na g/friend,boyfriend,mchumba,mke ama mume hata kwa jambo dogo tu ambalo hapendi kutendewa.....
Mimi kitu ambacho sipend ni kudanganywa hata kwa jambo dogo ,wewe je?