Mmmmh saa nyingine tusiwalaumu watu ukute wana mapepo hebu ukiona mtu kama huyo mshauri akaombewe au uwe unamwombea maana katika hali ya kawaida mtu huwezi fanya hivyo
Hamna bwana hii mambo ni umri tu maana hata jamaa yangu mmoja
yuko hivyo hivyo nafikiri kuna muda tu ukifika atabadilika wala sio ishu ya
kushauri au nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.