SIasa!!!

Anfaal

JF-Expert Member
Jan 19, 2010
1,154
113
Hivi hakuna namna nyingine ya kupata uongozi km hizi tunazozitumia. Aina hii inagharama kubwa saana hata ethics wise ni tatizo saana. Ni lazima nchi iongozwe kwa utaratibu wa kisiasa au kijeshi? Hatuwezi kuwa na mfumo wetu kweli! Hivi kwanini wanasiasa ndio washike hatamu na si wachumi au kundi jingine?
Nimewasikiliza kina mama hawa wanavyozungumza na kuhangaika ohpss. Naomba ieleweke nazungumzia mfumo mzima na si wa hiki chama peke yake.
YouTube - ‪CHADEMA WOMEN CANDIDACY NOMINATIONS (MichuziBlog)‬‎
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom