Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Hivi hakuna namna nyingine ya kupata uongozi km hizi tunazozitumia. Aina hii inagharama kubwa saana hata ethics wise ni tatizo saana. Ni lazima nchi iongozwe kwa utaratibu wa kisiasa au kijeshi? Hatuwezi kuwa na mfumo wetu kweli! Hivi kwanini wanasiasa ndio washike hatamu na si wachumi au kundi jingine?
Nimewasikiliza kina mama hawa wanavyozungumza na kuhangaika ohpss. Naomba ieleweke nazungumzia mfumo mzima na si wa hiki chama peke yake.
YouTube - ‪CHADEMA WOMEN CANDIDACY NOMINATIONS (MichuziBlog)‬‎
Nimewasikiliza kina mama hawa wanavyozungumza na kuhangaika ohpss. Naomba ieleweke nazungumzia mfumo mzima na si wa hiki chama peke yake.
YouTube - ‪CHADEMA WOMEN CANDIDACY NOMINATIONS (MichuziBlog)‬‎