Mkullya Damu
Member
- Jul 18, 2012
- 81
- 7
Ninawasiwasi na maamuzi ya prf. Muhongo waziri wa nishati na madini,kwamba kuna wana siasa wanamtumia ili kujiimalisha kisiasa na mbio za uraisi sina uhakika na mawazo mgando yangu,mwenye uwezo wa kutizama kwa jicho la tatu naomba aniondoe huu wasiwasi wangu!