CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Ilipoti kuhusu ubora vya vyuo vikuu afrika, inaonyesha bado UDSM inaongoza njia Tanzania na huku SUA akipitwa na MUHAS.
UDSM ya 36 africa, 1593 dunian. MUHAS 42 Africa, 1761, SUA ya 45 africa, 1771 dunian.
MY TAKE. Kulikon Mzumbe mbona kwenye list ya ubora ua haitokei, UDOM Labda kwa vile bado changa. Kwa hari hii inaonyesha vyuo vyetu vinazidi kuporomoka kwa ubora.
Source: daily news 09/01/2012.
UDSM ya 36 africa, 1593 dunian. MUHAS 42 Africa, 1761, SUA ya 45 africa, 1771 dunian.
MY TAKE. Kulikon Mzumbe mbona kwenye list ya ubora ua haitokei, UDOM Labda kwa vile bado changa. Kwa hari hii inaonyesha vyuo vyetu vinazidi kuporomoka kwa ubora.
Source: daily news 09/01/2012.