Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Nimemsikia Mh. Makala kwenye mchango wake bungeni leo akimnukuu Raisi "kubali kuliwa ule". Hii ni kuelezea kwamba TANAPA watangaze biashara ya utalii ili wapate biashara!<br />
<br />
Huu unaweza kuwa msemo. Lakini unaonyesha ni jinsi gani tunavoweza kuwa 'loose' katika fikra! Tunakubali matokeo kirahisi sana! Bila kuliwa hatuli! Mbona tunaliwa na hatuli?
Siasa zetu ni za ajabu sana! Wananyama wametoroshwa, tumeliwa! Je tumekula? Hatujala!<br />
<br />
Unahoji! Halafu unaunga mkono hoja!! Unaliwa halafu hauli unachekelea!!
<br />
Huu unaweza kuwa msemo. Lakini unaonyesha ni jinsi gani tunavoweza kuwa 'loose' katika fikra! Tunakubali matokeo kirahisi sana! Bila kuliwa hatuli! Mbona tunaliwa na hatuli?
Siasa zetu ni za ajabu sana! Wananyama wametoroshwa, tumeliwa! Je tumekula? Hatujala!<br />
<br />
Unahoji! Halafu unaunga mkono hoja!! Unaliwa halafu hauli unachekelea!!