Siasa zahusishwa vurugu za RUVUMA

Hakuna watu wanoniudhi kama wakubwa wa Polisi, ma RPC's na Makamishna walioko Makao,mara zote wanakwepa kuwajibika tu na kuelekeza burden of guilty pahala pengine! Sioni ni vp siasa inaingia katika hili
Mkuu, inawezekana inaingia........
Inawwezekana wamepewa amri na viongozi wa kisiasa...
Inawezekana Vuai, waziri na kiongozi wa kisiasa amewaambia nyie uweni tu mkiona mtu anadai haki,
Kwani yeyote anyedai haki huyo hayuko upande wetu sisi CCM.
 
Wazushi, wanakera, wamejisahau kama tupo nao mtaani tukiamua kuwatia kibano patachimbika, watu wameuwawa viongozi wapo kimya wanafanyia mzaha maisha ya watu, hapo siasa iko wapi?
 
Wanajanvi tusishangae hayo yanayotokea Songea kwa wananchi wasio na hatia, wanaodai haki yao ya kulindwa wao na mali zao badala yake wanauawa!! Ni jeshi hili hili la polisi ambalo limeshindwa hata kuwalinda mawaziri wa serikali wanayoipigia saluti mpaka wanaathirika na sumu; leo hii utawategemea wawalinde makabwela?
 
kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma ambaye jina lake sikulishika vizuri anasema vurugu zilizotokea leo asubuhi kati ya waandamanaji na polisi na kusababisha vifo vya watu watatu zimesababishwa na imani za kishirikina na siasa ndani yake. Wananchi walikuwa wakiandamana kupinga wimbi la mauaji ya raia yaliyokithiri mkoani ruvuma na kuitaka serikali ichukue hatua.


source: tbc

Ndo ujinga wa CCM huu tayari wamesha anza kuingiza siasa wakati wananchi wanadai haki yao ya kulindwa
 
Hii ndiyo tanzania.Tuliishasema we need change and collective power to overthrow the existing system.polisi hawatufai na jeshi hilo ndo la kisiasa.liko kwa ajili ya kulinda maslahi ya watu fulani fulani.ikiwezekana tuaanzishe vita dhidi ya polisi hata kama tutakufa wote lakini tuhakikishe tunaliondosha jeshi hilo hasa hawa askari wasio na kazi FFU.wanalipwa kutokana na kodi zetu halafu wnatuua tena hiyo haikubaliki watanzania.tuamke tukabiliane na uonevu.damu hizo zilizomwagika tusikubali ziende hivyo hivyo.Alluta kontinua???????????????
 
alafu cha kushangaza yule mkuu wa mkoa Mwambungu alipohojiwa akadai msako mkali unaendelea kuwasaka wote walioshiriki kwenye maandamano, mm nilitegemea angesema msako mkali unafanyka kuwabaini wote wanaoendesha vitendo hivyo vya mauaji ya kinyama.! Shenzi taipu...naenda kukata ticket ya Superfeo niende songea kesho kulianzisha upya mpaka kieleweke hatuwezi kukaa kimya wakati ndugu zetu wanakufa.
 
Whatever the case may be............Polisi kuua watu ni KOSA...........na inabidi Polisi, Mkuu wa Mkoa na kamati yake ya Ulinzi wawajibike kwa hilo............

Polisi wana kila namna ya uwezo kutuliza vurugu zozote bila kutumia silaha za moto.......labda watuambie wamebadili mafunzo.............huu ugonjwa wa Polisi kupiga wananchi na kuua ULAANIWE...............

waliua Zanzibar, Mwembechai, kanda ya Ziwa, Arusha na sasa Songea..............damn it!.......Our system sucks!
 
mwaka jana tumeshuhudia vurugu Uingereza........sikusikia Polisi kaua mtu leave alone kupiga............
 
Back
Top Bottom