Siasa za wizara ya afya na ustawi wa jamii!

utiyansanga

JF-Expert Member
May 19, 2010
214
7
Daladala zina uzuri wake ,leo asubuhi nimebahatika kuwasikia watumishi wawili wa wizara ya afya wakimwaga yale yanayowasibu kazini .Walianza kuzungumzia tetesi kuwa waziri wa afya bw. Mponda na mojawapo ya madkt walionyanyaswa na katibu Mkuu Blandina Nyoni ,eti aliwahi kupewa adhabu ya kuhamwishwa kupelekwa uswekeni.Waliendelea kueleza kuwa wanasubiri kuona jeuri ya mama huyo itaishia wapi! Wlienda mbali zaidi kwa kudokeza kuwa Bi Nyoni amwewapelekesha madaktri na watumishi wengine na kuwafanya waishiwe na ari ya kazi,

Walidokeza kuwa licha ya mabo ya ajabu anayofanya mama huyo bado ameendeleakupeta ,walitaja maajabu hayo ni wakubwa kumwacha akifanya kufuru ya matumizi makubwa ya fedha kwenye maonyesho y 77 NA 88 KWA MIAKA MIWILI mfulululizo licha ya huduma za wizara kuwa katika hali mbaya ...
waliotoa mfano wa manunaunzi ya suti 2400 yaliofanyika kupitia duka La Mariedo ambapo @ kila suti iligharimu kiasi cha sh 500,000. na ziliagiwza ulaya bila kufuata sheria! .......
Chondechonde watumishi wa serikali nyamazeni mkiwa kwenye daladala ....mnatumwagia upupu!
Sijui nigesikia mangapi kama ningeendelea na safari hadi mwisho
 
Daladala zina uzuri wake ,leo asubuhi nimebahatika kuwasikia watumishi wawili wa wizara ya afya wakimwaga yale yanayowasibu kazini .Walianza kuzungumzia tetesi kuwa waziri wa afya bw. Mponda na mojawapo ya madkt walionyanyaswa na katibu Mkuu Blandina Nyoni ,eti aliwahi kupewa adhabu ya kuhamwishwa kupelekwa uswekeni.Waliendelea kueleza kuwa wanasubiri kuona jeuri ya mama huyo itaishia wapi! Wlienda mbali zaidi kwa kudokeza kuwa Bi Nyoni amwewapelekesha madaktri na watumishi wengine na kuwafanya waishiwe na ari ya kazi,

Walidokeza kuwa licha ya mabo ya ajabu anayofanya mama huyo bado ameendeleakupeta ,walitaja maajabu hayo ni wakubwa kumwacha akifanya kufuru ya matumizi makubwa ya fedha kwenye maonyesho y 77 NA 88 KWA MIAKA MIWILI mfulululizo licha ya huduma za wizara kuwa katika hali mbaya ...
waliotoa mfano wa manunaunzi ya suti 2400 yaliofanyika kupitia duka La Mariedo ambapo @ kila suti iligharimu kiasi cha sh 500,000. na ziliagiwza ulaya bila kufuata sheria! .......
Chondechonde watumishi wa serikali nyamazeni mkiwa kwenye daladala ....mnatumwagia upupu!
Sijui nigesikia mangapi kama ningeendelea na safari hadi mwisho

Ukuda na Udaku! Nini Tija ya Post kama hii?
 
Daladala zina uzuri wake ,leo asubuhi nimebahatika kuwasikia watumishi wawili wa wizara ya afya wakimwaga yale yanayowasibu kazini .Walianza kuzungumzia tetesi kuwa waziri wa afya bw. Mponda na mojawapo ya madkt walionyanyaswa na katibu Mkuu Blandina Nyoni ,eti aliwahi kupewa adhabu ya kuhamwishwa kupelekwa uswekeni.Waliendelea kueleza kuwa wanasubiri kuona jeuri ya mama huyo itaishia wapi! Wlienda mbali zaidi kwa kudokeza kuwa Bi Nyoni amwewapelekesha madaktri na watumishi wengine na kuwafanya waishiwe na ari ya kazi,

Walidokeza kuwa licha ya mabo ya ajabu anayofanya mama huyo bado ameendeleakupeta ,walitaja maajabu hayo ni wakubwa kumwacha akifanya kufuru ya matumizi makubwa ya fedha kwenye maonyesho y 77 NA 88 KWA MIAKA MIWILI mfulululizo licha ya huduma za wizara kuwa katika hali mbaya ...
waliotoa mfano wa manunaunzi ya suti 2400 yaliofanyika kupitia duka La Mariedo ambapo @ kila suti iligharimu kiasi cha sh 500,000. na ziliagiwza ulaya bila kufuata sheria! .......
Chondechonde watumishi wa serikali nyamazeni mkiwa kwenye daladala ....mnatumwagia upupu!
Sijui nigesikia mangapi kama ningeendelea na safari hadi mwisho

hii post imekaa kama wimbo wa tarabu! nazani ipo haja ya kulipia uanzishwaji wa sredi hapa JF ili kupunguza idadi ya thread mutation.
 
Daladala zina uzuri wake ,leo asubuhi nimebahatika kuwasikia watumishi wawili wa wizara ya afya wakimwaga yale yanayowasibu kazini .Walianza kuzungumzia tetesi kuwa waziri wa afya bw. Mponda na mojawapo ya madkt walionyanyaswa na katibu Mkuu Blandina Nyoni ,eti aliwahi kupewa adhabu ya kuhamwishwa kupelekwa uswekeni.Waliendelea kueleza kuwa wanasubiri kuona jeuri ya mama huyo itaishia wapi! Wlienda mbali zaidi kwa kudokeza kuwa Bi Nyoni amwewapelekesha madaktri na watumishi wengine na kuwafanya waishiwe na ari ya kazi,

Walidokeza kuwa licha ya mabo ya ajabu anayofanya mama huyo bado ameendeleakupeta ,walitaja maajabu hayo ni wakubwa kumwacha akifanya kufuru ya matumizi makubwa ya fedha kwenye maonyesho y 77 NA 88 KWA MIAKA MIWILI mfulululizo licha ya huduma za wizara kuwa katika hali mbaya ...
waliotoa mfano wa manunaunzi ya suti 2400 yaliofanyika kupitia duka La Mariedo ambapo @ kila suti iligharimu kiasi cha sh 500,000. na ziliagiwza ulaya bila kufuata sheria! .......
Chondechonde watumishi wa serikali nyamazeni mkiwa kwenye daladala ....mnatumwagia upupu!
Sijui nigesikia mangapi kama ningeendelea na safari hadi mwisho

Haya ni mawazo yako acha kusingizia daladala.

Kuna watu lazima wanyanyasike ili tufike kule kuzuri tunakotaka. Lazima hapo dili lako la kununua suti sehemu lilipigwa chini.

kama una dili tafuta vitu quality dili lako halitapa vikwazo. Sio utake cha juu kikubwa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom