Siasa za ushabiki ni msumari wa moto kwetu

Eng Mayeye

Member
May 23, 2011
37
1
Nahofia sana mfumo wa SIASA tuliouanzisha hivi sasa wa kukuza MIGOGORO na MPASUKO ktk jamii na kuitumia kama MITAJI yetu ya siasa ktk majukwaa ili tupate UMAARUFU. Hatuna fikra kama tukijaaliwa kushika HATAMU tutaiongoza jamii hii hii na huu kuwa MSUMARI WA MOTO kwetu pia.
 
Kumbe na wewe bado umebakiwa na uwezo wa kuona madhara ya siasa chafu, kama
za udini, ukabila, rushwa na ufisadi,ahadi za uongo, kutumia nguvu kupita mahitaji n.k
 
Nachoamin ni kuwa siasa tuzihubirizo hivi sasa ni siasa za kumtamanisha mwananch kuwa sisi tutamletea chakula hadi mezani naye abaki na kazi ya kula tu... Tunamuahidi kuletea aina tofautitofaiti kila mara atakapohitaji. Huku tukimjaza chuki amchukie anayemuhudumia hivi sasa kuwa hamtimizii chochote... Tunajengewa kizazi cha kulaumu na cha uvivu. Naamin hata leo wakifanikiwa kuchukua nchi. Hawana uwezo wa kumtimizia mwananch yote wanayomuahidi tena kwa muda mfupi wausemao wao... Kwakuwa wamesha tufundisha tabia hizi za lawama, uvivu, ushabiki, ukosefu wa subra na maandamano, basi ni dhahiri nasi tutayafanya haya kwao tenda ndan ya muda mfupi bila ya kuwapa muda wa kujipanga.
 
Join Date : 23rd May 2011
Posts : 7
Thanks0Thanked 1 Time in 1 Post

Rep Power : 0



Nyie ndo mmeletwa na NAPE NNAUYE???
 
Nahofia sana mfumo wa SIASA tuliouanzisha hivi sasa wa kukuza MIGOGORO na MPASUKO ktk jamii na kuitumia kama MITAJI yetu ya siasa ktk majukwaa ili tupate UMAARUFU. Hatuna fikra kama tukijaaliwa kushika HATAMU tutaiongoza jamii hii hii na huu kuwa MSUMARI WA MOTO kwetu pia.


images
 
Join Date : 23rd May 2011
Posts : 7
Thanks0Thanked 1 Time in 1 Post

Rep Power : 0



Nyie ndo mmeletwa na NAPE NNAUYE???
Ndiyo WALE WALE wa kulianzisha halafu hawan ubavu wa kujibu hoja............. Huyo jamaa anasahau kuwa ZAMANI ukiwa AGAINST Julius UNAPOTEZWA au kufukuzwa NCHINI lakini siku hizi MAJIBU kwa MAJIBU
 
Tunakua kisiasa acha tuhangaike lakini yatupasa kufahamu kuwa sisi ni open book to the coming generation ktk siasa tutakazoziacha nyuma....

Nape nilimsihi ktk thread moja kuwa anapaswa kuwa modernized ili kujipa sura komavu,elimishi na tumaini ndani ya chama changu ili aweze kuwavuta kizazi hiki cha tehama.
1.introduce blog yako
2.facebook yako itengee fursa yetu
3.watu wa it waku saidie ai link na jamiiforums/ccm wavuti/michuzi/zito/january's etc

hii ni safari ambayo sote ccm na ninyi cdm yatupasa tuisafiri.... Majaliwa yetu yatatokana na weledi wetu mbele ya jamii.

Kidumu chama cha mapinduzi
 
Nahofia sana mfumo wa SIASA tuliouanzisha hivi sasa wa kukuza MIGOGORO na MPASUKO ktk jamii na kuitumia kama MITAJI yetu ya siasa ktk majukwaa ili tupate UMAARUFU. Hatuna fikra kama tukijaaliwa kushika HATAMU tutaiongoza jamii hii hii na huu kuwa MSUMARI WA MOTO kwetu pia.

hii pumba ya huyu jamaa nimeiona kule facebook...! toa unafiki ..... hapa hakuna majungu kuna findings, facts and analysis
 
Tunakua kisiasa acha tuhangaike lakini yatupasa kufahamu kuwa sisi ni open book to the coming generation ktk siasa tutakazoziacha nyuma....

Nape nilimsihi ktk thread moja kuwa anapaswa kuwa modernized ili kujipa sura komavu,elimishi na tumaini ndani ya chama changu ili aweze kuwavuta kizazi hiki cha tehama.
1.introduce blog yako
2.facebook yako itengee fursa yetu
3.watu wa it waku saidie ai link na jamiiforums/ccm wavuti/michuzi/zito/january's etc

hii ni safari ambayo sote ccm na ninyi cdm yatupasa tuisafiri.... Majaliwa yetu yatatokana na weledi wetu mbele ya jamii.

Kidumu chama cha mapinduzi

Kidumu eeeeeH! bado kidogo mtasema kindoo na baadae KYONDOE CHAMA CHA MAPINDUZI
 
crap zingine pelekeni mtaa lumumba kule ndo kuna wafaa.....watanzania wamewachoka
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Unaniangusha sana Mhandisi mwenzangu,(if at al you are!) I expected much more from an Engineer. Hayo ya kupelekeana chakula mpaka mezani yameingiaje hapa tena? Kwneye nchi kama hii ya kwetu unaita revolutions na uamsho wa watu kujitambua na kujua na kudai haki zao kuwa ni "siasa za ushabiki"? Ni siasa zipi ziliwahi kukupendeza katika nchi hii,ambazo unatushauri tuzifuate? Ushabiki watu wanavyohimiza vita dhidi ya majangili ya uchumi wetu? Ushabiki watu wanavyotetea mkurya dhidi ya mvuna dhahabu wa kimataifa? Ushabiki watu wanavyotaka bei ya sukari ishuke ili na sie tunywe chai kama wewe? Injinia?:smash:
Nachoamin ni kuwa siasa tuzihubirizo hivi sasa ni siasa za kumtamanisha mwananch kuwa sisi tutamletea chakula hadi mezani naye abaki na kazi ya kula tu... Tunamuahidi kuletea aina tofautitofaiti kila mara atakapohitaji. Huku tukimjaza chuki amchukie anayemuhudumia hivi sasa kuwa hamtimizii chochote... Tunajengewa kizazi cha kulaumu na cha uvivu. Naamin hata leo wakifanikiwa kuchukua nchi. Hawana uwezo wa kumtimizia mwananch yote wanayomuahidi tena kwa muda mfupi wausemao wao... Kwakuwa wamesha tufundisha tabia hizi za lawama, uvivu, ushabiki, ukosefu wa subra na maandamano, basi ni dhahiri nasi tutayafanya haya kwao tenda ndan ya muda mfupi bila ya kuwapa muda wa kujipanga.
 
Nachoamin ni kuwa siasa tuzihubirizo hivi sasa ni siasa za kumtamanisha mwananch kuwa sisi tutamletea chakula hadi mezani naye abaki na kazi ya kula tu... Tunamuahidi kuletea aina tofautitofaiti kila mara atakapohitaji. Huku tukimjaza chuki amchukie anayemuhudumia hivi sasa kuwa hamtimizii chochote... Tunajengewa kizazi cha kulaumu na cha uvivu. Naamin hata leo wakifanikiwa kuchukua nchi. Hawana uwezo wa kumtimizia mwananch yote wanayomuahidi tena kwa muda mfupi wausemao wao... Kwakuwa wamesha tufundisha tabia hizi za lawama, uvivu, ushabiki, ukosefu wa subra na maandamano, basi ni dhahiri nasi tutayafanya haya kwao tenda ndan ya muda mfupi bila ya kuwapa muda wa kujipanga.


Hatutaki tuletewe chakula mezani tunataka mbinu za kupata hicho chakula kwa wote ziwe sawa. Sio kama hali ilivyo sasa ambapo viongozi,wake zao,mahawara wao, vimada wao, wajomba zao n.k ndio wanajipendelea.
 
Back
Top Bottom