silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Hizi ni Campaign Gani tena,, kama ni ndugu yake si ange kaa kimya kuliko kumdhalilisha kakayake? Hebu tazama hii Habari hapa chini, Huyu Kyabo ninani hapa Tanzania kwani, Maana mi namfananisha na Popo, Mara CCM, mara Chadema mara wapi....
"Mpendazoe ni kaka yangu, tumenyonya pamoja lakini yeye mwenyewe hajitambui. Ni hatari kuongozwa na mtu asiyejitambua. Familia yake ilimshinda na mimi ni shahidi kwani nilipata shida sana katika kumtunza mkewe na wanawe Vitalis na David, hafai kuwa kiongozi. Nawaombeni itakapofika Oktoba 31, (siku ya upigaji kura kwa uchaguzi mkuu), mgombea wa CCM katika Jimbo la Segerea (Dk. Makongoro Mahanga) apate ushindi wa asilimia 99.5. Nawaomba msimpigie kura hata moja Mpendazoe maana hafai. Kwa wakati huu Mpendazoe hawezi kumudu kuongoza nafasi yoyote labda wakati mwingine atakapoomba ndio tutamuangalia. Na hata kama atarejea CCM mimi nadhani uwezo wake ni kuongoza katika nafasi ya Balozi wa nyumba kumi, tumpime kwanza katika ngazi hiyo kabla ya kumpa kazi nyingine yoyote," alisema Kiyabo.
Kunahitaji kubwa la kuwaita wale wote walio jiingiza kwenye siasa bila kuzijua ethics za siasa, na Kuwapa Semina fupifupi, za kisomo kuhusu Siasa. Hii intaonekana ni kama Madange kumbe inafaida kubwa sana kwa siku za usoni,, coz kutajataja mambo ya nyimbani kwenye majukwaa ya Kampaign si Campaign mzuri na zakimapinduzi bali ni kudhalilishana,, Nasijui Hata CCM kwanini walimuachia aongee Pumba hizo
Kwanza mi nashangaa wewe ulikuwa CCJ, ukaamia Chadema, sasa unarudi CCM jamani huyu si kinyonga huyu?
"Mpendazoe ni kaka yangu, tumenyonya pamoja lakini yeye mwenyewe hajitambui. Ni hatari kuongozwa na mtu asiyejitambua. Familia yake ilimshinda na mimi ni shahidi kwani nilipata shida sana katika kumtunza mkewe na wanawe Vitalis na David, hafai kuwa kiongozi. Nawaombeni itakapofika Oktoba 31, (siku ya upigaji kura kwa uchaguzi mkuu), mgombea wa CCM katika Jimbo la Segerea (Dk. Makongoro Mahanga) apate ushindi wa asilimia 99.5. Nawaomba msimpigie kura hata moja Mpendazoe maana hafai. Kwa wakati huu Mpendazoe hawezi kumudu kuongoza nafasi yoyote labda wakati mwingine atakapoomba ndio tutamuangalia. Na hata kama atarejea CCM mimi nadhani uwezo wake ni kuongoza katika nafasi ya Balozi wa nyumba kumi, tumpime kwanza katika ngazi hiyo kabla ya kumpa kazi nyingine yoyote," alisema Kiyabo.
Kunahitaji kubwa la kuwaita wale wote walio jiingiza kwenye siasa bila kuzijua ethics za siasa, na Kuwapa Semina fupifupi, za kisomo kuhusu Siasa. Hii intaonekana ni kama Madange kumbe inafaida kubwa sana kwa siku za usoni,, coz kutajataja mambo ya nyimbani kwenye majukwaa ya Kampaign si Campaign mzuri na zakimapinduzi bali ni kudhalilishana,, Nasijui Hata CCM kwanini walimuachia aongee Pumba hizo
Kwanza mi nashangaa wewe ulikuwa CCJ, ukaamia Chadema, sasa unarudi CCM jamani huyu si kinyonga huyu?