Hassan J. Mosoka
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 682
- 323
Wadau heshima mbele,
Nimekuwa nikifuatilia siku za hivi karibuni siasa za kenya, nimegundua kwamba wenzetu hawa bado wana ugonjwa mkubwa wa Ukabila. Inakusudiwa kuwa ifikapo 2015 EA takuwa imeanzisha shirikisho la kisiasa, wenzetu Kenya bado wana ugonjwa mkubwa wa Ukabila Je hatuoni kuwa watatusambazia matatizo yao ya ukabila ikiwa tutakubali political federation?GEMA, Kalenjini! unaweza kuona hapa GEMA and Kalenjin Strategy Meeting - YouTube
Nimekuwa nikifuatilia siku za hivi karibuni siasa za kenya, nimegundua kwamba wenzetu hawa bado wana ugonjwa mkubwa wa Ukabila. Inakusudiwa kuwa ifikapo 2015 EA takuwa imeanzisha shirikisho la kisiasa, wenzetu Kenya bado wana ugonjwa mkubwa wa Ukabila Je hatuoni kuwa watatusambazia matatizo yao ya ukabila ikiwa tutakubali political federation?GEMA, Kalenjini! unaweza kuona hapa GEMA and Kalenjin Strategy Meeting - YouTube