Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
The country is boring.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole, hautafutwa na mtaangukia pua.Naona ni afadhali ufutwe tu
Kijana wa Nape kama CCM inashindwa kufutwa kwa uchaguzi ndio kujipeleka kaburini mapena. Nafikiri manazidi kupotea!Naona ni afadhali ufutwe tu
Kuna kila dalili za uchaguzi mdogo katika jimbo la igunga kufutwa, Katika taarifa ya habari ya TBCI Msajili wa Vyama Mr.Tendwa ameonesha pendekezo la kufutwa kwa uchaguzi huo kwa kigezo kwamba watu wengi watakufa siku ya uchaguzi hivyo kufuta uchaguzi huo kutaokoa maafa. Jambo hili lina ukweli kiasi gani, mnaofuatilia uchaguzi huo kwa karibu naomba mtujuze kulikoni, nini kinaendelea huko na kama kweli hoja ya Tendwa ya kufuta uchaguzi ina msingi wowote.
sijui tu huyo bwana ikulu itakua inamemwambia sisiem ikishindwa tu na kazi hana ndo mana anatamani uchaguzi ufutwe
Mkuu ccm wana hali mbaya hawakubaliki kabisa, hakuna viashiria vya maafa kama mambo yote yatafanywa kwa haki!Kuna kila dalili za uchaguzi mdogo katika jimbo la igunga kufutwa, Katika taarifa ya habari ya TBCI Msajili wa Vyama Mr.Tendwa ameonesha pendekezo la kufutwa kwa uchaguzi huo kwa kigezo kwamba watu wengi watakufa siku ya uchaguzi hivyo kufuta uchaguzi huo kutaokoa maafa. Jambo hili lina ukweli kiasi gani, mnaofuatilia uchaguzi huo kwa karibu naomba mtujuze kulikoni, nini kinaendelea huko na kama kweli hoja ya Tendwa ya kufuta uchaguzi ina msingi wowote.
Kiashiria cha hatari ni hiki, ccm wamejipanga kushinda hata kwa hila, wamesha mwambia mkurugenzi kuwa kama hawezi tangaza ccm kuwa imeshinda hata kama haijashinda aseme mapema wa wamwamishe!
tbc1 wamerusha mahojiano na mh tendwa na pia mkutano wa tume ya uchaguzi na waandishi wa habari. Ingawa habari zenyewe zimekuwa fupi fupi tu, nimemshangaa tendwa kwa kulalamikia kuwa sarakasi za kampeni na kuishia hapa kana kwamba hana lolote analoweza kufanya. Ameishia kusema kuwa angetamani uchaguzi huo ufutwe.
Tume nayo imeishia kulaani fujo zinazoendelea bila kueleza hatua watakazochukua!!
TBC1 wamerusha mahojiano na Mh Tendwa na pia mkutano wa Tume ya Uchaguzi na waandishi wa habari. Ingawa habari zenyewe zimekuwa fupi fupi tu, nimemshangaa Tendwa kwa kulalamikia kuwa sarakasi za kampeni na kuishia hapa kana kwamba hana lolote analoweza kufanya. Ameishia kusema kuwa angetamani uchaguzi huo ufutwe.
Tume nayo imeishia kulaani fujo zinazoendelea bila kueleza hatua watakazochukua!!
Source TBC-1 taarifa ya habari saa 2.00kamili usiku 26-09-2011,Msajili wa vyama vya siasa John Tendwa alisema hivi,"Kama ningekuwa na mamlaka kwa yanayotokea Igunga ningefuta uchaguzi ule hata sasa ninavyozungumza",akaendelea,"yanayotokea pale ni kama Polisi hakuna,Serikali haipo,kila kitu hovyo kabisa".Sasa sijui kama amejianzia au ndio wakuu wamemtupa,maana maumivu ya kichwa hawa Magamba huanza polepole!
Naona ni afadhali ufutwe tu
Hahahahahahaaaaa! teheteheteheee! kwikwikwikwikwiiiii! Mwita,mwita25,hakuna kufyata mpira kwapani,hadi 90min ziishe hapa.mmeyavulia nguo muyaoge sasa.Hali ni tete babaaaaaa!, ungekua na uhakika wa ushindi kwa CCM,usingetamani uchaguzi ufutwe.Naona ni afadhali ufutwe tu