nanchi
Member
- Jan 29, 2012
- 66
- 7
Ndugu wanajamvi naomba kufahamu kutoka kwenu kuhusu muungano wa tanganyika na zanziba.1;nini sababu iliyopelekea kuwa na muungano.2;watanganyika na wazanzibar waliafiki?3;viongozi hawa walitumia njia gani kupata maoni ili kuidhinisha huo muungano?inanishangaza pale ninaposia suala la muungano kwenye katiba mpya halijadiliwi.