Yahemovich
Senior Member
- Jan 20, 2011
- 170
- 3
Katika mahusiano ya wapenzi wengi pamekuwa na vijineno ambavyo ni common sana aidha kutoka kwa mwanamke au mwanaume.
Kwa mfano ; baby!, Honey!, malaika, nakupenda kama...., uko peke yako...,kwako nimekufa nimeoza nibaki kuzikwa...,
promise me...,
mtu akikosea ; shetani alinipitia...!, yule mjomba wangu.../tunaundugu nae...!. MUNGU Husamehe nawe wapaswa ujifunze kusamehe...!pamoja na mengine mengi.
Je hapa kati ya mwanaume na mwanamke nani CCM NA NANI CHADEMA WAUKWELI?
Kwa mfano ; baby!, Honey!, malaika, nakupenda kama...., uko peke yako...,kwako nimekufa nimeoza nibaki kuzikwa...,
promise me...,
mtu akikosea ; shetani alinipitia...!, yule mjomba wangu.../tunaundugu nae...!. MUNGU Husamehe nawe wapaswa ujifunze kusamehe...!pamoja na mengine mengi.
Je hapa kati ya mwanaume na mwanamke nani CCM NA NANI CHADEMA WAUKWELI?