Ni mwezi sasa tangu wanafunzi wa chuo cha mipango wachague rais wa kuwawakilisha katika serikali ya wanafunzi yaani (MISO) katika uchaguzi huo uliokuwa umejaa kila namna ya vimbwanga kwani hadi mbunge wa ccm bwana juma nkamia aliingilia tu kwa vile mke wake alikuwa mgombea mwenza wa mgombea urais bwana Kwagila aliyekuwa mwenyekiti wa ccm mipango walitumia pesa nyingi magari hadi gari la mbunge Juma Nkamia aina ya vx ilionekana kwenye kampeni hizo ambazo ziliusisha wagombea watatu bwana Kisaka, Ducko. Na Kisaka Inasadikika kwamba management ilipandikiza watu hawa wawili Kisaka Na Kwagila ila cha kushangaza Mungu alivyo wa ajabu wote wakashindwa na tume Ikamtangaza bwana Ducko kuwa Rais mpya ila cha kushangaza managementikaingilia kati na kudai mshindi si mtanzania, mara ni CHADEMA, mra muhuni hadi sasa hawataki kumuapisha cha kusikitisha zaidi wameshindikiza Tume kuandika baruakwamba uchaguzi haukuwa huru na haki uonevu huu mpaka lini? mtu annyangaywa haki yake wadau tusaidieni ccm wanaingilia hadi jumuia ndogo kama ya miso kweli hata walivyo pita nina wasisisi na kura zao zilizowaweka madarakani