AKYOO ELIUD
Member
- Apr 20, 2011
- 16
- 2
hivi taaluma za watanzania huwa zinaheshimika? naona kila mahali wanasiasa ndo wameshika atamu, daktari bosi wake mbunge, enginia kwa diwani hakoi, hakimu naye hana pakupumulia, kuna taifa lilopiga hatua kwa kuwategemea hawa wanasiasa?>??