Ukitizama picha ya hao waheshimiwa wabunge na hao madiwani wao utakubaliana na mimi
kuwa nikweli Mary Mwanjelwa yupo mbioni kujiunga na Chadema...kama hujui kusoma taza
ma hata picha.
asa ule mkono wa MAry ulikua unaenda wapi?
Tehetehe!!
Ila aache wizi wa mataulo!!
Ha ha haa Mkuu TIMING umeniwahi LoL! Halafu SUGU kama kaufinya mkono wa Binti
Tehetehe!!
Ila aache wizi wa mataulo!!
HA ha ha haa mkuu hivi huyo ndio yule wa mataulo?
Mzee yupi? fungukanasikia shakula ya muzee!
Mabwepande kwa Mr2asa ule mkono wa MAry ulikua unaenda wapi?
Tehetehe!!
Ila aache wizi wa mataulo!!
Hivi ile kesi yake ya wizi Arusha iliishia wapi?