Siasa ni unafiki!

GAMAH

Member
Jul 30, 2012
38
2
Kweli siasa ni unafiki thats why i hate politicians na politics zao, Viongozi na wanaojiita MAKAMANDA wa cahama cha CHADEMA wamekua wakihubiri kupambana na ufisani unofanywa na serikali ya CCM na watu wake wliopo kwenye syst. Cha kushangaza mpaka nadiriki kusema siasa ni unafiki na wanasiasa wote lao ni moja ni pale nilipokua mahakama ya Kisutu kusikiliza hukumu ya Mahalu kilichonipeleka kusikiliza ni taalumu ya sheria ninayohudumu ili niindelee kujifunza mambo mapya kwan sheria ni kitu cha kusoma kila siku ni pale ambapo baada ya hukumu kutolewa na Prof kutoka kizimbani watu wa mwanzo kumpokea ni makamanda wa CHADEMA Kamnda LEMA na wenzake wakiwa na 'gwanda' walikua wkwanza kumhag MAHALU!!!!

INASHANGAZA sana wale wanaojiita wapinga ufisadi ndio leo wanashangilia jamaa kushinda??? sitaki kuingilia maamuzi ya mahakama lakini hata mtoto wa std 6 akiona mazingira ya mikataba miwili tofauti yenye bei tofauti katika ununuzi wa jengo lile angehisi kuna ufisadi!

Mtu mwingine aliyenishangaza ni Wakili MARANDO ambae amekua akipanda kwenye majukwaa ya CHADEMA na kuponda serikali iliyopo madarakani na alipohutubia jangwani alidiriki kuponda hadi mahakama kua inashikiliwa na ccm kwa kuwakumbatia mafisadi huku akisahau yeye ni wakili na aliweka 'ethics' za uwakili pembeni leo anamtetea mtuhumiwa wa ufisadi???? namheshimu kwa taaluma yake ya uwakili but kwenye hili la uwakili napolitcs no way ckubaliani nae!!:closed_2:
 
Shitaka halikuwa na mshiko alisingiziwa tuu, na wao wanatetea wanyonge wanaonewa, umeelewa? wako sawa bana ok!!
 
Mkuu GAMAH tangu lini Lema na Marando wamekuwa makamanda ?.Hawa wanajulikana kama wadandiaji kadri siku zivyosonga mbele mtazidi kuwabaini taratibu.
 
Twige what do you mean by kusingiziwa? did you through mwenendo wa kesi yenyewe ukaona mikataba yote miwili??
 
Mkuu Gama kwahio ulitaka ahukumiwe tokana na Chama alichotoka ila sio kwa vigezo vya shitaka lenyewe?
 
not kwa mrengo chama coz sijasema kama Mahalu ni mwanachadema think hujanielewa go through it again

in Law we say ''JUSTICE NOT ONLY DONE BUT MUST HAVE SEEN TO BE DONE''
 
Siasa ni game chafu. Hao wanasiasa wanalijua ila hakuna anaesema wazi.
 
We kama ni mwanasheria basi hukuelimika au inawezekana unajiandikia tu hata facts za kesi huzijui. Mikataba miwili, yes, mwenye jengo alikiri kulipwa euro mil 3, makaratasi kwa maana ya mkataba wa pili wao waliuita wa kibiasha wakaunderstate value. kama wewe kweli ni mwanasheria na unajua sale agremeent unajua kuna bei ya kununulia na bei ya kwenye sale agremnt ambayo huwa mnaitumia kukwepea kodi serikali. kwani ni uongo? Sasa ulitaka mahalu afungwe wkt waziri, k/m kiongozi, rais, Ag waliyajua. Acheni mawazo mgando na mambo ya kutoana kafara. Tafuta gazeti la leo usome details za kesi halafu ndo urudi humu na siasa zako.
 
Kweli Bro inaonekana hata kama umesoma sheria,hujuie sheria ulikuwa unakariri tu darasani wewe....
 
Umeshindwa kujenga hoja yako. Try to be more observant, get wide exposure of these things and then come up with a well balanced analysis.
 
Mkuu kwakuwa wewe ni mwana sheria nafasi yakukata rufaa bado ipo wazi ili nawewe tuone mchango wako katika kutetea lasilimali za Taifa lako.
 
pole sana umewagusa malikia wa chadema lazima ushughulikiwe.ukitaka mawazo mazuri iponde ccm na wala sio chadema maana chadema ni malaika!
 
Kweli siasa ni unafiki thats why i hate politicians na politics zao, Viongozi na wanaojiita MAKAMANDA wa cahama cha CHADEMA wamekua wakihubiri kupambana na ufisani unofanywa na serikali ya CCM na watu wake wliopo kwenye syst. Cha kushangaza mpaka nadiriki kusema siasa ni unafiki na wanasiasa wote lao ni moja ni pale nilipokua mahakama ya Kisutu kusikiliza hukumu ya Mahalu kilichonipeleka kusikiliza ni taalumu ya sheria ninayohudumu ili niindelee kujifunza mambo mapya kwan sheria ni kitu cha kusoma kila siku ni pale ambapo baada ya hukumu kutolewa na Prof kutoka kizimbani watu wa mwanzo kumpokea ni makamanda wa CHADEMA Kamnda LEMA na wenzake wakiwa na 'gwanda' walikua wkwanza kumhag MAHALU!!!!

INASHANGAZA sana wale wanaojiita wapinga ufisadi ndio leo wanashangilia jamaa kushinda??? sitaki kuingilia maamuzi ya mahakama lakini hata mtoto wa std 6 akiona mazingira ya mikataba miwili tofauti yenye bei tofauti katika ununuzi wa jengo lile angehisi kuna ufisadi!

Mtu mwingine aliyenishangaza ni Wakili MARANDO ambae amekua akipanda kwenye majukwaa ya CHADEMA na kuponda serikali iliyopo madarakani na alipohutubia jangwani alidiriki kuponda hadi mahakama kua inashikiliwa na ccm kwa kuwakumbatia mafisadi huku akisahau yeye ni wakili na aliweka 'ethics' za uwakili pembeni leo anamtetea mtuhumiwa wa ufisadi???? namheshimu kwa taaluma yake ya uwakili but kwenye hili la uwakili napolitcs no way ckubaliani nae!!:closed_2:

Gamah
hebu fafanua unachukia siasa au mfumo wa mahakama!? Kama mahakama imemuona Prof. hana hatia na wewe ni mtu angalau unayependelea mfumo wa utawala bora! basi hatuna jinsi bali kukubali kwamba prof hana hatia na kwa hiyo lazima apongezwe na well wishers na hasa wale walio mstari wa mbele kupigania utawala bora, kwa kigezo gani wewe ungependelea kumtia Prof hatiani!? je ulisikia ushahidi wa boss wake Ben Mkapa!? how do you know ununuzi wa nyumba ile Italy ile haikuwa project ya kigogo mwingine na prof alikuwa anatumiwa tu?1

Sina hakika kama sasa wewe unapendekeza mfumo wa Kangaroo courts au sharia au za kichina china!? ambazo hazitahitajika kuzingatia ushahidi uliopo bali hisia za mtu and such other vested interests!!

Hata mimi nina mashaka na jinsi mahakama zetu zinavyoendeshwa katika kusimamia haki za raia hapa nchini! lakini kwa bahati mbaya hiyo ndio hali halisi mpaka hapo tutakapokuwa tumepata katiba bora inayoweza kurekebisha mambo mengi katika uendeshaji wa shughuli nyingi ndani ya nchi yetu!

Wenzetu jirani Kenya baada ya kuwa wamepata katiba mpya imewasaidia kurekebisha mambo mengi kwa mfano sasa hivi wanaendesha zoezi la ku-vet majaji na tayari majaji kama 4 hivi ambao hawakukidhi haja wameshatimuliwa kazi, na juzi tena jopo la kamati iliyoongozwa na jaji mstaafu wa Tanzania Augustino Ramadhan imependekeza naibu raisi wa mahakama kuu ya Kenya Nacy Baraza atimuliwe kazi kwa kumtishia mlinzi wa village super market kwa bastola wakati akiwa kazini, yuo see hicho ni kitu hakijawahi kutokea, sheria ilikuwa ya kuadhibu wanyonge tu!

Ndugu yangu hebu tukazani katiba mpya iliyo bora haya maudhi yatapungua, nimeiona kero yako!!
 
Back
Top Bottom