Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Katika hali ya kawaida na maisha ya kila siku ni vigumu kutenganisha vitu hivi viwili. Haviwezi kutenganishwa kwa sababu aidha kimoja kinasaidia kingine au kimoja kinaharibu kingine.
Hapa kwetu malalamiko mengi yanatokana na aidha sheria au wanasheria au siasa na wanasiasa.
Huko Uganda wanasheria wametamka kwamba hawataenda mahakamani kwa siku tatu kupinga vitendo vya unyanyasaji na ukiukaji wa haki za binadamu vinavofanywa na serikali. Hili jambo la kupongeza.
Endapo sisi wanasheria tungeweza kugoma angalau kwa siku moja kupinga malipo ya Dowans, Mikataba mibovu, hali ngumu ya maisha nk basi jamii yetu ingetuthamini zaidi na tungekuwa tumetekeleza wajibu kwao.
Niko kwenye dilemma, kama mwanasheria na mwanasiasa.....what a mix to be in!
Hapa kwetu malalamiko mengi yanatokana na aidha sheria au wanasheria au siasa na wanasiasa.
Huko Uganda wanasheria wametamka kwamba hawataenda mahakamani kwa siku tatu kupinga vitendo vya unyanyasaji na ukiukaji wa haki za binadamu vinavofanywa na serikali. Hili jambo la kupongeza.
Endapo sisi wanasheria tungeweza kugoma angalau kwa siku moja kupinga malipo ya Dowans, Mikataba mibovu, hali ngumu ya maisha nk basi jamii yetu ingetuthamini zaidi na tungekuwa tumetekeleza wajibu kwao.
Niko kwenye dilemma, kama mwanasheria na mwanasiasa.....what a mix to be in!