Siasa mpaka TCU

Sijaona ni kwa vipi siasa imeingia!!mtoa mada naomba ufafanuzi zaidi kabla sijasema hujui maana ya neno siasa!!
ni hivi,siasa nimemaanisha ahadi tu without implementation kama wafanyavyo CCM wetu,mwanzo walituambia tokeo ni early july,leo lini na wanatuambia nn?
 
ni hivi,siasa nimemaanisha ahadi tu without implementation kama wafanyavyo CCM wetu,mwanzo walituambia tokeo ni early july,leo lini na wanatuambia nn?
kwan siasa mean late implementation? Mana ccm wenyewe hawana hata hiyo late implementation!
 
Ahadi ni deni(wahenga hawa na sio mimi).Ila cha kushangaza wameudanganya umma wa watanzania.Kwani kuna haja gani ya kutamka mambo ambayo huna uwezo wa kuyatekeleza kwa wakati tajwa?Sasa kama hii sio siasa ni kitu gani basi?
 
Ahadi ni deni(wahenga hawa na sio mimi).Ila cha kushangaza wameudanganya umma wa watanzania.Kwani kuna haja gani ya kutamka mambo ambayo huna uwezo wa kuyatekeleza kwa wakati tajwa?Sasa kama hii sio siasa ni kitu gani basi?
nisaidie mtu wangu!humu nako kuna wang'ang'ania ubish wa kisiasa!
 
Inaelekea huyo aliyesema ccm hawana ahadi feki analishwa na hayo magamba,mkuu inasemekana hawa tcu watafunguka agost 4,hivyo tuwasikilizie na hapo!
 
[h=3]SOMA TANGAZO LA TCU HAPA CHINI NA UTULIE!

News[/h]

Public Announcement on Second round of Application for 2011/2012 Admissions
The Tanzania Commission for Universities (TCU) wishes to inform the general public that the selection process under the first round of applications through the Central Admission System (CAS) has been completed and names of selected applicants will be released on 4[SUP]th[/SUP] August 2011.Following the completion of the first round, the second round of applications will be opened starting on 1[SUP]st[/SUP] August to 22[SUP]nd[/SUP] August 2011. This round will be opened to those who have not been selected during the first round and applicants who did not apply during the first round of application, which was closed on 31[SUP]st[/SUP] May 2011.With the planned second round of applications, prospective applicants and the general public are advised to take note of important dates as shown below.
S/N
Activity
Date
1
Opening of the second round of applications
1[SUP]st[/SUP] August 2011
2
Closing of the second round of applications
22[SUP]nd[/SUP] August 2011
3
Release of names of selected applicants
3[SUP]rd[/SUP] September 2011
For further clarification please contact TCU through the following:

EXECUTIVE SECRETARY,
P O BOX 6562,
DAR ES SALAAM,
 
Nimeshatulia lakini sasa hivi bado navibrate!
[h=3]<u><font color="#b22222">SOMA TANGAZO LA TCU HAPA CHINI NA UTULIE!<br />
<br />
</font></u>News[/h]<table class="wysiwyg_dashes wysiwyg_cms_table_newsTable" width="100%" align="center"><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr wysiwyg_cms_table_newsTable_tr"><td width="100%" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_newsTable_td"><a href="https://www.jamiiforums.com/view_news.php?id=51" target="_blank"><u>Public Announcement on Second round of Application for 2011/2012 Admissions</u></a><br />
The Tanzania Commission for Universities (TCU) wishes to inform the general public that the selection process under the first round of applications through the Central Admission System (CAS) has been completed and names of selected applicants will be released on 4<sup>th</sup> August 2011.Following the completion of the first round, the second round of applications will be opened starting on 1<sup>st</sup> August to 22<sup>nd</sup> August 2011. This round will be opened to those who have not been selected during the first round and applicants who did not apply during the first round of application, which was closed on 31<sup>st</sup> May 2011.With the planned second round of applications, prospective applicants and the general public are advised to take note of important dates as shown below.<table class="wysiwyg_dashes wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid"><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_tr"><td width="32" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td"><b>S/N</b></td><td width="314" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td"><b> Activity</b></td><td width="123" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td"><b>Date</b></td></tr><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_tr"><td width="32" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td">1</td><td width="314" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td">Opening of the second round of applications</td><td width="123" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td">1<sup>st</sup> August 2011</td></tr><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_tr"><td width="32" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td">2</td><td width="314" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td">Closing of the second round of applications</td><td width="123" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td">22<sup>nd</sup> August 2011</td></tr><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_tr"><td width="32" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td">3</td><td width="314" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td">Release of names of selected applicants</td><td width="123" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoTableGrid_td">3<sup>rd</sup> September 2011</td></tr></table><br />
For further clarification please contact TCU through the following:<br />
<br />
EXECUTIVE SECRETARY,<br />
P O BOX 6562,<br />
<b>DAR ES SALAAM,</b></td></tr></table>
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom