combra
Senior Member
- May 28, 2012
- 130
- 31
CHADEMA walifanya mkutano jangwani, CCM na wakajibu mapigo, CHADEMA wakaanzisha operation ya "vua gamba vaa gwanda" CCM nao wakaja na yakwao "vua gwanda vaa uzalendo"Je watanzania kwa siasa kama hivi za majibishano zitatufikisha wapi?
Badala ya kukaachini na kufikiria maendeleo ya nchi. Uamuzi ni wetu kuzishabikia au kuachana nazo.Tafakari chukua hatua!
Badala ya kukaachini na kufikiria maendeleo ya nchi. Uamuzi ni wetu kuzishabikia au kuachana nazo.Tafakari chukua hatua!