Mangaline
JF-Expert Member
- May 19, 2012
- 1,045
- 221
Ndugu zangu wana jf, Mimi ni muumini wa chama fulani cha siasa, Mke na watoto imetokea wakawa na itikadi tofauti na ya kwangu. Kutokana na matukio ambayo wamekuwa wakiyaona kupitia vyombo vya habari, imetokea wakajenga chuki zaidi na chama ambacho mimi ni muumini wake. sasa hivi, (hasa baada ya tukio la iringa), hali ndani ya nyumba sasa imezidi kuwa tete. nimejitahidi kujieleza kuwa chama changu hakihusiki, sieleweki. Naombeni ushauri.