Siasa inanigharimu

Mangaline

JF-Expert Member
May 19, 2012
1,045
221
Ndugu zangu wana jf, Mimi ni muumini wa chama fulani cha siasa, Mke na watoto imetokea wakawa na itikadi tofauti na ya kwangu. Kutokana na matukio ambayo wamekuwa wakiyaona kupitia vyombo vya habari, imetokea wakajenga chuki zaidi na chama ambacho mimi ni muumini wake. sasa hivi, (hasa baada ya tukio la iringa), hali ndani ya nyumba sasa imezidi kuwa tete. nimejitahidi kujieleza kuwa chama changu hakihusiki, sieleweki. Naombeni ushauri.
 
Ndugu zangu wana jf, Mimi ni muumini wa chama fulani cha siasa, Mke na watoto imetokea wakawa na itikadi tofauti na ya kwangu. Kutokana na matukio ambayo wamekuwa wakiyaona kupitia vyombo vya habari, imetokea wakajenga chuki zaidi na chama ambacho mimi ni muumini wake. sasa hivi, (hasa baada ya tukio la iringa), hali ndani ya nyumba sasa imezidi kuwa tete. nimejitahidi kujieleza kuwa chama changu hakihusiki, sieleweki. Naombeni ushauri.

Mke na watoto hawana 'dini' huria ila ya baba wa familia.
 
kama unagida ugimbi kwani lazima na wao wagide

you are the head of the family .... hell no !!!! .... afterall keep your family matters out of the crowd
 
Ndugu zangu wana jf, Mimi ni muumini wa chama fulani cha siasa, Mke na watoto imetokea wakawa na itikadi tofauti na ya kwangu. Kutokana na matukio ambayo wamekuwa wakiyaona kupitia vyombo vya habari, imetokea wakajenga chuki zaidi na chama ambacho mimi ni muumini wake. sasa hivi, (hasa baada ya tukio la iringa), hali ndani ya nyumba sasa imezidi kuwa tete. nimejitahidi kujieleza kuwa chama changu hakihusiki, sieleweki. Naombeni ushauri.

Mkeo si muadilifu na huyo mwanawe kishaoneshwa baba'ke wa ukweli.
 
Back
Top Bottom