manchester
Member
- Sep 3, 2010
- 54
- 3
Watanzania wapi tunakwenda Tafakari wewe mwenyewe... miaaka mitano iliyopita 1US dollars ilikuwa inakwenda kwa Tshs 1300 ila sasa 1 Us dollars inakwe 1,550 Tshs na bado inapaa bado tuu tunashindwa kufungua macho yetu na kuona hapana ni wakati wa kusema inatosha gharama za maisha zinapanda kila mkidai haki yenu mnajibiwa sihitaji kura zenu iweje nyongeza ifanyike sasa hapa tumedanganyika vya kutosha yatupasa kuwa mamkini sasa ....Angalia Jacob Zumo yuko madarakani wananchi wake wamedai haki yao wamesikilizwa sisi tumetishiwa hata na kufukuzwa ajira na majibu ya kejeli SZIZIHITAJI KURA ZENU iweje sasa wakati huu aongeze au kwa sababu kampeni zimeanza....HAPANA JAMANI INATOSHA KWA SASA TUWE MAKINI SASA na MACHO MBONA WACHILE WAO WALIWEZA KWA NINI SISI TUSHINDWE???