Kwanini mwanamke anaendelea kutega watu kimavazi na kimwendo wakati ameshaolewa?
wanawake wanafanya biashara siku hizi bana...
Kwanini mwanamke anaendelea kutega watu kimavazi na kimwendo wakati ameshaolewa?
Poa rafiki yangu................. ukiolewa lazima uendelee kubaki na mvuto ili aliyekuoa asikate tamaa............. hata ukiwa na wababy...................... unarudia hali yako au unajitengeneza uwe na mvuto zaidi................. kwa mumeo tu (sasa hao wa mtaani wanaokutamani shauri yao)Kumbeeeeeee - Wanawake wengine wakiolewa huwa wazuri zaidi - aka huwa na mvuto zaidi and vice versa...!!!
FP - mambo vipi lakini?
konnieeeeeeee!Tangu lini mvuvi akaacha kutega??
We si unaona wavuvi wa Magufuli hadi walivuka mpaka.
We naye, kama bozo
Nani kakwambia tunavaa ili kukutega wewe? Ukiteguka kimpango wako!
Mada yako mbona haieleweki, kama umeolewa kuna mavazi yake na wasiolewa wana mavazi yao?
Loading...:crutch:
Zichungen hisia zenu, zitunzen ndoa zenu!Law has no xcuse, umeoa umeolewa cha mhm muheshm mkeo/mmeo!Twacheni kutaftiza vji7bu vya kutegana!
Kwanini mwanamke anaendelea kutega watu kimavazi na kimwendo wakati ameshaolewa?
Kwa hiyo wote walioolewa walikuwa wanavaa kimtego ndio wakaolewa????????????????????Kwanini mwanamke anaendelea kutega watu kimavazi na kimwendo wakati ameshaolewa?
Kwanini mwanamke anaendelea kutega watu kimavazi na kimwendo wakati ameshaolewa?