Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,933
- 22,095
Jamani niwape kisanga hiki jana niko kwenye basi akapigiwa mwanaume mmoja na mkewe ama hawara wake atujui lakini yaonyesha wanaishi pamoja,samahani hata kama wanaishi pamoja sijajua wamekaa miaka mingapi kama sheria inavyosema niwahahlalishe akaulizwa uko wapi akaajibu nipo ofisini bado ...
Nahisi katika maongezi akaulizwa mbona gari linatembea akasema anapeleka docs upande wa pili waofisi yao yaani bila chenga wala chozi na acheki wenye kushindwa kuhimili tukaanza kucheka akakata...Mwenzake akasema vipi mbona unampiga mchanga wa macho shemeji...nilizi
mia jibu lake.
"Hivi unahisi wengine hatupendi kuwahi majumbani la hasha kwingine akukaliki ndugu" wakikuona hata ukienda kulala kitandani wanakufwata wanakutafutia neno nani anataka.. Akamuuliza waenda wapi sasa hivi akajibu anaenda kushuka Tabata apate mbili tatu arudi home....
Maswali yalianza kunijia ifuatavyo
Alishukia external sijui alisahau kwamba amesema tabata??
Na akiwa anashuka hata kuaga mwenzake zaidi ya kesho nikajiuliza yawezekana kweli kuna matatizo kwake lakini ndugu zangu kuna matatizo mengine tunayaongeza wenyewe...
Nimejiuliza kama ameweza kumdanganya mwenza wake hivyo na hapo hapo akadanganya kwa rafiki yake anashuka tabata
akaishia external...je hii tabia ya uongo naomba niwasaidie ndugu zangu ni mbaya mbaya sana sana..
Nasema hivi ni ya aibu na kukuaibisha nje nje.... Angalia mtu mzima anadanganya mwenza wake hapo hapo anadanganya gari zima na rafiki yake anashuka tabata......
Ni kweli kuna matatizo kwenye familia na labda niongezee matatizo huongeza upendo kwenye ndoa na heshima zaidi.
Nahisi katika maongezi akaulizwa mbona gari linatembea akasema anapeleka docs upande wa pili waofisi yao yaani bila chenga wala chozi na acheki wenye kushindwa kuhimili tukaanza kucheka akakata...Mwenzake akasema vipi mbona unampiga mchanga wa macho shemeji...nilizi
mia jibu lake.
"Hivi unahisi wengine hatupendi kuwahi majumbani la hasha kwingine akukaliki ndugu" wakikuona hata ukienda kulala kitandani wanakufwata wanakutafutia neno nani anataka.. Akamuuliza waenda wapi sasa hivi akajibu anaenda kushuka Tabata apate mbili tatu arudi home....
Maswali yalianza kunijia ifuatavyo
Alishukia external sijui alisahau kwamba amesema tabata??
Na akiwa anashuka hata kuaga mwenzake zaidi ya kesho nikajiuliza yawezekana kweli kuna matatizo kwake lakini ndugu zangu kuna matatizo mengine tunayaongeza wenyewe...
Nimejiuliza kama ameweza kumdanganya mwenza wake hivyo na hapo hapo akadanganya kwa rafiki yake anashuka tabata
akaishia external...je hii tabia ya uongo naomba niwasaidie ndugu zangu ni mbaya mbaya sana sana..
Nasema hivi ni ya aibu na kukuaibisha nje nje.... Angalia mtu mzima anadanganya mwenza wake hapo hapo anadanganya gari zima na rafiki yake anashuka tabata......
Ni kweli kuna matatizo kwenye familia na labda niongezee matatizo huongeza upendo kwenye ndoa na heshima zaidi.