Si muda mrefu kutoka sasa

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
4,163
787
wakuu habarini, ninampango wa kuanza kuishi na mke wangu,

nilioa muda yapata miaka 5 iliyopita, maisha yalikuwa ya

kusoma na tulikuwa tukionana mara mbili hadi tatu kwa mwaka, yaani nyakati za likizo

wakati wa likizo tukitekeleza tendo mwezi mzima, wiki mbili au hata wiki moja tu, ilitegemea

na likizo yenyewe.

sina hakika kama yupo amabae ninasaidiana nae kula tunda langu, lakini nalionaga tamu sana

kwa vile labda nakula kwa misimu ya mwaka, sasa nataka liwe tamu na mke wangu aone alikuwa

anamiss vitu vitamu kwangu..binafsi najiona sina jipya, na atanichoka haraka, naomba nipate ujuzi wenu

wale waliodumu kwenye ndoa zao kwa muda wa kutosha. Ikiwa ni pamoja na tendo, naomba nipate

ushauri katika maisha ya ndoa ya kila siku.

naomba hekima zenu. watoto wa shul/chuo marufuku kutoa balekhe zenu hapa.
 
Haya gfsonwin na snowhite mnaitwa hapa mtoe mavitu yenu ya mifyonzo.

Ushauri wangu, ni be yourselves.

Usijaribu kumbadilisha mwenzio, capitalize kwenye mazuri yake na yaboreshe mapungufu yake bila kumfanya aone anayo hayo mapungufu.

Msifanye vitu kwa mazoea, dumisheni ubunifu na mkumbuke hakuna matusi wala taboo btn you two.

Muwe each others washauri, the only third person kwenye mahusiano yenu ni Mungu tu.

Kila mtu ajaribu kumtendea mwenzake kile ambacho angependa yeye kutendewa; dont expect a lot from your partner but rather dedicate a lot to your partner (heri mkono utoao kuliko upokeao)

maisha yenu ni yenu, ndugu wana nafasi mtakayowapangia ninyi na si watakayowapangia ninyi.

Mnawajibika kwanza kwa watoto mliowaleta duniani, then wazazi na wanaofuatia ni ndugu na society.

Mwisho msikubali kugawana umasikini, kama mnacho kidogo badala ya kukitawanya kwenye ukoo, chagueni walau mtu mmoja mumuendeleze kielimu ili naye aje asaidie mmoja; lkn mkisaidia wengi mwisho wa siku wote mtabaki pale pale.

Ni hayo tu, ngoja wengine waongezee au kuboresha pale nilipoacha mapungufu.
 
Last edited by a moderator:
this game got no rule,unavyocheza ndio kanuni zake za kucheza,ukicheza kwa kanuni zako mambo yakienda kombo hutakuwa na wa kumlaumu,ukicheza kwa kanuni za bishanga ukiharibikiwa utamuona bishanga nuksi,ukifuata kanuni za mc tilly chizenga siku ukija gundua zigo lako lilikuwa linaliwa utajuta kwanini you played this game fairly!

wanaoitwa washauri wazuri wa mapenzi wengi wao ndoa zao ziko shagalabaghala,wengine hawana kabisa,its complicated thing.

haya sasa pokea ushauri toka kwa wadau huku kichwani mwako ukiyajua hayo niliyokueleza
 
Vijana ndiyo watundu halafu hutaki mawazo yao, Duu...kwa vile umekataza kuchangia....me nasema kwa mbali huku nikiondoka kwa sababu umenikataza kusema jukwaani:
Cha kwanza Msifie alivyo navyo..km mguu, macho, n.k
Msifie chakula kizuri, mavazi mazuri,,,,
Mtoe out weeknd moja moja, beach...
mpe zawadi za suprize...quality....
ukiamka siku moja moja mpige kiss....
siku zingine ondoka na mtoto wako halafu ukatembee naye huko halafu mnarudi mko fulu...
siku zingine pika chakula halafu uone atasemaje....
mwogeshe siku zingine...
mkate kucha, jifanye unamfuta uso siku zingine huku ukitabasamu...
mpeleke saloon.....
mpe uhakika wa ulinzi ....ajisikie yupo salama...kwa mfano unamwachia simu yako anacheza gemu akipiga mtu yeyote anapokea bila wasiwasi.....
mpigie simu wakati wa kula....wakati wa chai nk
mwambie unampenda ukimaanisha......
peleka mtoto saloon....msikilize akiwa anataka kuongea....
saa zingine mnakosea...mwanamke anapoongea shida zake hataki utatuzi isipokuwa anataka kusikilizwa na kushare feelings,,,,so unamkumbatia na kumliwaza halafu unamwambia basi yamekwisha
mnunulie nguo nzuri na perfume nzuri....
UMUAMINI 100% KWANI SI UPO TAYARI KUFA NAYE......
Samahani naomba niondoke nawahi kufanya Maandalizi ya Fiesta na Washkaji,
ukishindwa kumbeba shauri yako..........................................................
 
Endelea kumpenda, kumjali, kumthamini, kumheshimu, msikilize, mshirikishane kwenye mambo yenu na usisahau kupata wasaa wa kutoka naye out, japo mara moja moja kwa kadiri utakavyopata muda. Yale mengine ya ndoa, sijui tunakushaurije maana jukwaa hili watoto nao wanakatiza katiza, Lol!
 
Kuwa natural ni mke wako usijifake... Na yeye naamini awe alivo. Amini nakwambia kama mmeweza tunza penzi lenu kwa amani kabisa kwa long distance kiasi kwamba hapa wajihoji (kama mwanaume) kwa wasi wasi kama unaweza kidhi vile atakavo IMO ni dalili tosha kuwa all will be well and good hasa kama nae hajaonesha hiana yoyote.

Kila la kheri katika hio ndo yako na usisahau kumhusisha Mungu awawezeshe kwa hilo.
 
Punguza presha!!!!!! Ndege wako mwenyewe manati ya nini!!!!!!!!!!!!! Jilie vyko taratibuuuuuuuu!
 
Haya gfsonwin na snowhite mnaitwa hapa mtoe mavitu yenu ya mifyonzo.

Ushauri wangu, ni be yourselves.

Usijaribu kumbadilisha mwenzio, capitalize kwenye mazuri yake na yaboreshe mapungufu yake bila kumfanya aone anayo hayo mapungufu.

Msifanye vitu kwa mazoea, dumisheni ubunifu na mkumbuke hakuna matusi wala taboo btn you two.

Muwe each others washauri, the only third person kwenye mahusiano yenu ni Mungu tu.

Kila mtu ajaribu kumtendea mwenzake kile ambacho angependa yeye kutendewa; dont expect a lot from your partner but rather dedicate a lot to your partner (heri mkono utoao kuliko upokeao)

maisha yenu ni yenu, ndugu wana nafasi mtakayowapangia ninyi na si watakayowapangia ninyi.

Mnawajibika kwanza kwa watoto mliowaleta duniani, then wazazi na wanaofuatia ni ndugu na society.

Mwisho msikubali kugawana umasikini, kama mnacho kidogo badala ya kukitawanya kwenye ukoo, chagueni walau mtu mmoja mumuendeleze kielimu ili naye aje asaidie mmoja; lkn mkisaidia wengi mwisho wa siku wote mtabaki pale pale.

Ni hayo tu, ngoja wengine waongezee au kuboresha pale nilipoacha mapungufu.

Im humbled!nakuja shosti ngoja niboreshe hii yangu kwanza kwa kumuandalia mume chakula then ntareje!
 
wakuu habarini, ninampango wa kuanza kuishi na mke wangu,

nilioa muda yapata miaka 5 iliyopita, maisha yalikuwa ya

kusoma na tulikuwa tukionana mara mbili hadi tatu kwa mwaka, yaani nyakati za likizo

wakati wa likizo tukitekeleza tendo mwezi mzima, wiki mbili au hata wiki moja tu, ilitegemea

na likizo yenyewe.

sina hakika kama yupo amabae ninasaidiana nae kula tunda langu, lakini nalionaga tamu sana

kwa vile labda nakula kwa misimu ya mwaka, sasa nataka liwe tamu na mke wangu aone alikuwa

anamiss vitu vitamu kwangu..binafsi najiona sina jipya, na atanichoka haraka, naomba nipate ujuzi wenu

wale waliodumu kwenye ndoa zao kwa muda wa kutosha. Ikiwa ni pamoja na tendo, naomba nipate

ushauri katika maisha ya ndoa ya kila siku.

naomba hekima zenu. watoto wa shul/chuo marufuku kutoa balekhe zenu hapa.

Ok
Anza na kuonyesha unamthamini na yeye ni top kwenye agenda yako- hapa mpe time ya kutosha, toka nae outing mwanana, mnunulie zawadi zawadi

Msupport na kumsaidia kwenye mambo yake heheheh hata kupika ni usaidizi...lol

Msifie akipendeza na kufanya mambo mazuri etc mapishi, mavazi, nywele usafi wa nyumba etc...

Kwenye 7x8....
Hapa kabla ya kusikiliza hadithi za watu na watu wao hebu chukua muda wako ujielimishe kuhusu female sexuality kuanzia anatomy ya huku deep south, posture mwanana na mengineo...

Unaweza pia ongeza manjonjo kwa kutoa surprisa za kupiga deki huko katika kuta za labia na katika mlima kleetoria....

Unaweza ukaexplore kama Columbus mpaka uwe unakifikia kitufe G angalau kukipa salamu mara moja moja.....

Usisahau kubadili venue mara kwa mara...pia vitu vidogo vidogo kama pre-match jogging ni muhimu....

Hayo ni machache tu..kama yote haya ni mapya basi nenda kidogo kidogo usijeonekana umetumika sana ulipotoka....
 
Back
Top Bottom