Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
- Thread starter
- #101
Nikupateje, Malawi walipopata uhuru walisema nchi mipaka ya nchi yao iko wapi? Au kwenye ulingo wa kimataifa Malawi wanaelezea eneo la nchi yao kivipi?
Jambo moja ambalo nina hakika nalo, rais wa sasa wa Malawi ni kibaraka mzuri sana wa wazungu and trade her family silver ili kuwaridhisha wazungu. Tangu ameingia madarakani anaonekana kufanya maamuzi ya haraka sana yenye msukumo wa wazungu. Hili la Lake Nyasa nalo amepata kiburi toka kwa waingereza.
Uzuri ni kwamba Malawi hawajawahi kugeuka kauli zao kabla na baada ya uhuru. Unachokisikia wakikisema sasa ndicho kilisemwa miaka yote.
Hayo ya kwamba wakoje na wazungu mimi siwaingilii kwani wana uhuru wa kuhusian na yeyote wanayeona ana manufaa kwao kama sisi tusivyoingiliwa na tunaoona wana manufaa kwetu.