Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,270
- 105,445
nimeshakutana na wachina bongo wanaongea kiswahili kizuri kuliko wanavyoongea kiingereza...sikuamini maskio yangu nilivyowasikia siku hiyo
Kiswahili kimejengwa kwa logic kubwa kuliko Kiingereza, angalia rules na exceptions tu katika lugha zote.
Ni rahisi kwa mchina kujifunza Kiswahili kuliko Kiingereza, kwa sababu Kiingereza kimekaa arbitrary zaidi.
Na kama unaona navutia lugha ya nyumbani kwangu msome George Bernard Shaw on the subject.