JustineKitenge2016
Member
- Jul 17, 2016
- 46
- 62
Habari wanaJF,
Naomba kujua wasifu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Joyce Lazaro Ndalichako.
Naomba kujua wasifu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Joyce Lazaro Ndalichako.
Mkopo sijapata nimehoji tu so ubaya kakaUmepata MKOPO kwanza!!!!!!
Waha hawana machezo
Roho mbaya haina kabila,roho mbaya nimakuzi ya mtu na mazingira yanayomzunguka.Wana roho mbaya by nature
Nadhan ww ujawai ata kufka kigoma ,ungeenda ungerudisha mrejeshoRoho mbaya haina kabila,roho mbaya nimakuzi ya mtu na mazingira yanayomzunguka.
Siko tayari kukujibu vibaya laiti ungenielewa maana yangu wala usingejibu kwa kukurupuka kaka, Nimehoji hivi nina maana kubwa ni kwamba sa hivi watu wananyimwa mikopo eti kisa mtu amesoma sayansi je wao wamesoma hayo masomo ndo maana yangu sijamzarau mheshimiwa nina muheshimu sana tena sana mimi sijajengwa kwenye misingi ya kumbeza mtu.Watoto hawa Njuka,first year wamekuja na Nepi wanataka kuhoji Credibility ya Ndalichako?
Hivi ninyi watoto mnajielewa kweli nyie!
Yesu awasaidie
Mhhh so kweli kabisa nakataa roho mbaya ni makuzi mtu anayokua nayoWana roho mbaya by nature
Waha ni nature, na vinyongo ndo wenyewe.Roho mbaya haina kabila,roho mbaya nimakuzi ya mtu na mazingira yanayomzunguka.
Don't assume. Waha wana roho mbaya, wachawi, vinyongo ndo penyewe. Ubishi ndo balaa!Nadhan ww ujawai ata kufka kigoma ,ungeenda ungerudisha mrejesho
Yule Mama nilikuwa namchukulia poa Sana kumbe alikuwa kipangandalichako T O Mara mbili yaan habahatishi yule ni zaid ya Lipumba
Umenichekesha mpaka nimepaliwa cocoa.ndalichako nasikia ni TO mara mbili etty advnce and O levell masters and phd yake si ya tanzania kachukulia mbele huko kwa hiyo kigezo cha kumzingua muha yule huna
Yesu kwako amekosa pa kutumikaWatoto hawa Njuka,first year wamekuja na Nepi wanataka kuhoji Credibility ya Ndalichako?
Hivi ninyi watoto mnajielewa kweli nyie!
Yesu awasaidie
Je amesoma sayansi ndo swari langu niasidie kaka please..ndalichako T O Mara mbili yaan habahatishi yule ni zaid ya Lipumba
Safi sana kaka watu wanawaforce watoto wasome sayansi wakati maabara hakuna, mitaara mibovu,HII NDO TANZANIAtunasifiaga ujinga,To,to bongo!!!magumashi tu.Wataalam wa sayansi na hisabati tulishawazika,km. akina Newton,Avogadro,Faraday,Arrhenius,N.k wengine ni maboga tu.