Black African
Member
- Oct 17, 2011
- 24
- 3
Wana jf,i have confirmed myself that nampenda na nipo tayari kuwa naye kimaisha.Huyu msichana nashindwa kumsoma anawaza nn juu yangu,hapo mwanzo niliwahi kumu-approuch ila nilimsoma hakuwa tayari ingawaje hakunitamkia rasmin kwamba hakunikubalia,bac,nikaachana naye tukawa tu nipo karibu naye kikawaida.Sasa hivi naona amebadilika amezidi kunichangamkia,ananiambia mambo yake nahic ni ya siri,ninapomuagiza kitu hacheleweshi,ananitaka nifike kwao bila ya wacwac ukizingatia anaishi na wazee wake.kwa hali hiyo nahic atakuwa amedevelop felling,lkn nashangaa hanipigii cm mpk me nianze,hanitumii hata sms,hajanitaka msaada hata siku 1,sasa nataka nimpime ili kumjaribu ni kwa kiasi gani ananijali,tayari nilianza kwa kumuazima cm yake niitumie muda wa wiki 1 bila ya yy kuepo hewani,hili amenikubalia nisaidieni jinsi ya kumpima ksb nimepanga kumfungulia ukurasa mwengine mwishoni mwa mwezi huu,ikiwa atafauli mitego yote nitakayomuwekea.Au mnanambiaje?maana hawa wadada wanauwezo mkubwa wa kutupelekesha.